Basi hivi ndio nimeamua kuanza mwaka!
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Nimepata hili wazo la kuweka akiba kila wiki...
Kuna mambo huwa ni magumu sana kuelewa....Hivi ni rahisi kujenga barabara ya lami kisha kuifanya ni sehemu maalumu ya wafanyabiashara wadogo?. Chakula kinapangwa barabarani....mbele ya macho ya...
This week's thought revolves about a policy debate on industrialisation. While the ruling party's government, under the leadership of Dr Magufuli, has embarked on industrilisation stratigies...
Watu wengi ambao hawajazama ndani ya biashara wana picha fulani ya kwamba biashara au ujasiriamali ni sehemu bora ya wao kuwepo. Kwa wengine inaweza kuwa sehemu nzuri kuwepo lakini wengi...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyosema .
Nina maswali Yangu ambayo naamini wachumi watanijibu kufasaha na nitaelewa !
1. Kwanini bei ya mafuta inapanda na kushuka ikifika mwishoni...
Wanajamvi,
Mwaka 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alitoa tamko la kusisitiza wafanyabiashara wote wa magari hapa Jijini Dar Kuhamishia shughuli zao rasmi eneo la Kigamboni...
Benki ya Equity imezindua huduma ya 'Eazzy Banking' itakayowawezesha wateja wa benki hiyo kufanya miamala ya fedha popote walipo na wakati wowote.
Akizindua huduma hiyo leo jijini Dar es Salaam...
Habari wanajamvi,
Siku za karibuni kulikuwa na mtikisiko wa soko la cyrptocurrency hasa katika coin yao pendwa ya Bitcoin (BTC), kutokana na mtikisiko ule waekezaji wakubwa au makampuni mengi...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
Last week, this pair rose from the support line at 1.2250 and tested the resistance line at 1.2550 (a movement of 300...
Jamani wana jamii nini nahitaji kufanya biashara ya saluni ya kike (kutengeneza kucha+kupaka rangi + pamoja na kuweza kope za bandia) lakinini abroad nchi mbili hizi za Zambia[/USER] +Mozambique...
Nenda mjini kwenye maduka ya jumla, nunua yeboyebo fasion za kisasa, yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf...
Wadau habarini za muda huu, naomba mwenye uelewa na madini yafuatayo anipe shule kidogo juu ya aina ya madini, soko lake na bei.
Kuna rafiki yangu amepata sehemu yapo lakini hajui yanatumika kwa...
Wakuu
Kuna ambaye amewahi kukopa UTT Microfinance kupitia umiliki wake wa vipande au share alizonazo DSE? Naombeni kufahamu interest yao ni asilimia ngapi
Asanteni
For anyone who want to be V-pesa agency and make more money every single day, Please call now on 0718371221 / 0764705712 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) or email paulchapa0744@yahoo.com for...
habar zenu wakuu
Kuna kijana katoka kijijin kaja kwangu kwa lengo nimtaftie kazi ila kwa haraka haraka vyuma vimekaza mno so nikaona ni bora nimuwekee hata ki biashara tu kidogo ili...
Salaam wanajamvi, ni matumaini yangu mko wazima wa afya mkiendelea na mihagaiko ya kila siku kwa ajili ya kujipatia mkate.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninaomba mwenye uelewa na hawa watu...
Za asubuhi waungwana,
Nadhani wote tunafahamu hizi namba za malipo ambazo tunatumia kuzilipa kampuni mbalimbali, zinakuaga tarakimu sita kama sikosei. Mfano kwa wale wanaobet, Premier Betting ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.