Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ukifanywa uhakiki na tume huru ikijumuisha na wataalamu say toka nje, ni vyuo vidivyozidi kumi vitasimama. 1.UDSM 2. MUHAS 3. SUA 4. MZUMBE 5. ARDHI 6. OPEN 7. KCMC 8. CUHAS 9. KAIRUKI ????? 10...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Mimi ni mwalimu sekondari ninadiploma G.P.A 3.1, advanced nilipata E flat HGL. Nimeomba ruhusa ya Halmashauri kwenda mason kwa miaka 3 nimepata, Naombeni ushauri wenu wadau...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani ushauri wana jf, Hivi kwanini cut off point za Pharmacy MUHAS ni 8 au ina mshahara mkubwa kuliko kozi zingine? Mimi nashangaa
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naombeni ushauri juu ya kozi ya Education in Management and Administration. Je kazi zinapatikana kirahisi? Na baadaye ukitaka kubadilisha itawezekana?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuhusu:Mchaka mchaka wa vyeti feki. Mimi hili nakuunga asilimia 100%.Huu mchakato uendelee na yeyote atakayebainika basi sheria ichukue mkondo wake. Ila sasa unapoenda mbali zaidi kubaini watu...
6 Reactions
35 Replies
5K Views
Wana JamiiForums, mnaonaje miradi ya CWT? Siinatosha kujiendesha bila kukata walimu? Utetezi wao ni upi kama wao ndo vinara wa makato
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wana jukwaa. Ningependa kujua kwamba je, PGD in Scientific Computing inayotolewa UDSM na college ya CONAS inaweza kumsaidia mwanafunzi ambaye hakusoma BS. CS kusoma MS. in Computer Science...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona sahivi kuna kitu kunaitwa higher diploma.hivi hii kitu ipoje tofauti na diploma ya kawaida na inachukua muda gani kusomea kozi kwa hii higher diploma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman nimechaguliwa Mzumbe certificate in law
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Kuna thread nimesoma hapa JF nimebaki kucheka sana. Ilikua kuhusu ubora wa elimu Tanzania mathalani elimu ya juu. Mimi nimesoma sua degree ya Kwanza, Boston USA degree ya pili na sasa nasoma PhD...
1 Reactions
3 Replies
804 Views
Huu ni msimu wa kujidahili kupitia NACTE na TCU ili kupata nafasi ya kujiunga na vyuo. TCU wametoa guide lakini cha kushangaza kuna vyuo huwezi kupata taarifa za program wanazotoa ukiacha hii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Nimesikia kwamba NACTE wamefuta mafunzo ngazi ya certificate kwa teaching lakini kuna baadhi ya vyuo vinaendesha short course kwa wenye 4 ili kujiunga na diploma ni kweli? Kama ni kweli ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mm ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana na nimepata div. IV ya 26 ninatafuta vyuo vya ualimu vya kujiunga, lakini vyuo vingi wanasema wanapokea mwisho div. III je, hakuna chuo ambacho kinatoa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hello JF Hope you are doing fine...ndugu zangu hiki chuo nakiogopa sana kwani kina mizengwe kibao,,mara kifutwe mara kirudishwe..nahitaji ushauri wenu kutokana na vyuo vingi vya serikali vya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mh Waziri wa elimu nakuomba sana uturudishie mada muhimu sana katika somo la kiingereza kidato cha tano na sita ,ambazo ni 1) Phonology 2) Syntax 3) Semantics 4) Morphology. Turudishie maana ndo...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimepitia ile Guide ya TCU na website yao, lakini sijafanikiwa kuona tarehe ya mwisho ambayo ndio mfumo wa udahili wa pamoja utafungwa kwa wanao taka kuomba. Anaefahamu atujuze.
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeingia online regostration ya NACTE but sijaona guide book ya teachers colages , please mwenye nayo naomba sana , naomba aprovide attachent hapa, please kama unayo naiomba as fast as possible...
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Msaada kwa huyu binti ambaye hajapata selection ya form five wala NACTE wakati ana div III.25. Namba take ya mtihani ni S4279/0029 tatizo liko wapi? Je aki apply tena atachajiwa pesa ya kutuma...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Msaada tafadhali,nipo LINDI,Napata wapi National ID.
0 Reactions
1 Replies
733 Views
Wakuu naomba kuuliza nimeapply community health tar29/4 mwaka huu je hivi ni mwezi wa ngapi majina yatatangazwa kwa walio chaguliwa.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom