habari za jumapili wadau, hasa walio soma shule ya AZABOY, nikiwa miongoni mwa walio soma, shule ninaendelea kusikitika kwa matokeo ya shule hii kongwe na ya vipaji ambayo inaelekea sasa kuitwa...
Inawezekana kufanya transfer ya chuo na faculty kwa wale tuliochaguliwa na nacte course za afya mfano diploma in pharmaceutical science kwenda diploma ya clinical medicine
Unakuta chuo ni cha serikali kabisa alafu ada na michango mingine unalipa kwa Dora (usd ) na bado serikali ndo wakwanza kuwapiga mkwala Kampala international university!
Habari ndg zangu
Kuna mdogo wangu namfanyia application za chuo kikuu. Huyu dg alikosa credi tatu o level akaresit akapata C, B, B kwa masomo yote matatu aliyoresit, form six amepata two ya point...
QUALITY BUSINESS SOLUTIONS CO .LTD kampuni hii inashughulika na uuzaji wa Tally.Erp9 accounting software kwa kuuza Tally.Erp9 kwenye makampuni mengine.Makampuni karibu yote yanayonunua...
Wakuu naomben kufahamu utofauti kati ya ordinary diploma na higher diploma na pia kivip baadhi ya kozi huchukua muda wa miaka miwil na nyngne mwaka mmoja..nawasilisha
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA UDAHILI WA PAMOJA (CAS) UNAORATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) NA KUTANGAZWA KWA MAJINA YA WAOMBAJI UDAHILI WALIOCHAGULIWA...
Amani na iwe kwenu wana ukumbi...
Hali yote nimshukuru mwenyezi mungu mwingi wa rehema kwa kuniwezesha kuandika hiki.
Naomba msaada kwa anaye kifahamu chuo cha kilimo na mifugo (LITA -TENGERU...
Wakuu Habari Zenu!
Wakuu Katika GuideBook ya TCU Kuna Kitu Bado Sijakifahamu.
Kwa mfano ukiangalia Chuo Kama CUHAS pana Muongozo huu:-
Bachelor Of Pharmacy:
Tuition Fee: 3,700000
Possible Loan...
Habari wana jamvi humu?
Naomba kuuliza mbona tovuti ya Nacte haifunguki tangia jana, na hata kabla ya jana ilikuwa ni ngumu ku log in na kuangalia application process, tatizo ni nini hapo laweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.