Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu navutiwa kusoma medicine UDSM lakini nina wasiwasi mwembamba kuwa sitapata nafasi kutokana na ufaulu wa wastani: division two ya kumi PCB. Hivi naweza kupata UDOM kwa medicine?? maana hiyo...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Hbr wanajamii. Naomb kufahamishwa kuwa wanaokwend kuchukua diploma ambazo unaomb kupitia NACTE wanapatiw mkopo? Kwa anaefaham naomb anifahamishe.
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Naomba kuuliza process za kufuata kwa mtu aliyopoteza cheti cha elimu ya secondary(necta). Natanguliza shukrani...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wanajamvi samahani nilikuwa naomba kuuliza kuwa elim ya uganda ikoje kwa upande wa a level je mtu akisoma tz na kupata D na C na mengine ana E hayi ni matokeo ya 2014-2015 form four...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mfano ukiangalia hapo utaona hata COMPUTER APPLICATION ilikuwa ni moja ya sifa mbadala kama kule kwingine huku kidhi.Na sio vigezo walivyovitoa juzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nimedownload guidebook ya upande wa afya zijaona upungufu wa wanafunzi wanaohitajika kwenye chuo husika,kwani capacity ya chuo zinaonekana ni zile zile ambazo zilikuwepo kipindi cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni ufafanuzi kuhusu RPL ya TCU maana kiukweli ni kama nimeachwa patupu sielewo
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Nitapata wapi payment voucher kwa ajili ya kuomba course TCU na shilingi ngapi hio voucher.wana JF msaada please!!
0 Reactions
5 Replies
665 Views
Habari,,, nimeingia NACTE nimeona tangazo lao kuwa majina yametoka na pia wameruhusu kuapply cheti na diploma mpaka tarehe 5 agoust,, lakini nikiingia CAS wanasema diploma waanze kuapply tarehe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jaman Kwanza Namshukuru Mungu Kwa Kupata Nafasi Hii Adimu!! Na Wale Waliokosa Nafas Bc Msikate Tamaa!! Nilimaliza 6 Last Year Nikapangiwa KU! Ada ikawa mtihan so nikakaa home mwaka mzima...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilihitimu kidato cha nne 2007 na nikapata four ya 26...lakini ckufanya chemia na phizikia....nataka kufanya masomo hayo mwakani ili nisome diploma ya uuguzi.je hayo natakiwa kufanya masomo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naomba kujua ukisoma uhandisi unaweza kuwa mtu gani???
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naweza kusoma combination nyingine baada ya kutokufanya vizuri katika mtihani uliopita NINA ECONOMICS E GEO S H E?
0 Reactions
7 Replies
854 Views
Nmepata dvision 3 ya 24 na ni arts na nmepata hstory-C, biolog-c,kiswahli-c,english-C,geograph-c,civics-D,maths-F ,, je watanipanga mana combi nne zmebalance kasoro egm naombeni majibu yenu na je...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima yenu wakubwa, hamjambo? Mimi nilimaliza kidato cha 6 mwaka huu na matokeo yamerud sijakidhi vigezo. yaan nimepata History E, Kiswahili D, English S na G.s S. Sasa, nahitaji kusoma Diploma...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutokana na hali ya ufaulu wa jumla wa masomo ya Sayansi, na kauli za ubabe za Serikali, na woga wa TCU kutoa mawazo yao, nashauri watoto mlio wengi kukwepa masomo haya ya Sayansi. Serikali...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Eti vyuo vipi vya afya vya private vipo vizuri kwa clinical Officer
0 Reactions
1 Replies
634 Views
YAH: KUSOGEZA MBELE MAFUNZO KWA VITENDO NA SUALA LA KUSAINI MIKOPO Katika barua ya wizara ya tarehe 21/ 07/ 2016 yenye Kumb. Na . CFB.137/413/ 01G/42 mliagizwa kusogeza mbele Mafunzo kwa Vitendo...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
ORDINARY DIPLOMA na HIGHER DIPLOMA zinatofauti gani sielewi mwenzenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom