Hatimaye sasa ubora wa elimu na ufaulu umeanza kuzingatiwa katika kusomea vyuo vikuu nchini.
Masomo ya science yalipoteza heshima yake kabisa, mikopo iligawanywa kiholela holela tu.
Sasa wimbi...
Habari zenu Wana JF, usema ukweli Add O-Level sitting bado tatizo katika website ya TCU. Nimeweka matokeo hayo kuresit ya mwaka 2014 lakini bado haileti majibu. Nashindwa kuendelea mbele... Msaada...
Chuo ni chako (serikali) madhaifu ya chuo ni wewe ndiye uliyesababisha au ni kutokana na uzembe wako (poor management) alafu ghafla unatoa tamko kuwa chuo kimefungiwa, huoni kuwa huko ni...
Amani iwe nanyi viongozi...
Natumaini mu wazima wa afya,lengo langu ni kutaka kujua utofauti wa hizi course na ipi ni bora kuliko nyingine.
1.Bachelor of science in information communication...
Wana jf wasalaam!
Kama mtakuwa na taarifa kuna vyuo na course flani kwenye vyuo fulani zimekataliwa kuchukua wanafunzi kwa mwaka huu na ni kutokana na sababu mbali mbali za kitaalum na miundo...
Hello JF..this is a true testimony.....
Today around 8 am in the morning I got a phone call from the college of Judiciary IJA ,,it was Wandering through this number 0227689097 she was informing...
Habari wanaJF,
Bila shaka kuna baadhi ya members ambao wamesoma tuition kwa Ostadhi pale chang'ombe,ningependa kufahamu uwezo wa huyu jamaa kiufundishaji maana nimekuwa nikisikia kwa Ostadhi kwa...
*Finland is ranked No.1 in the world in Education. What’s so great there!*
• A child goes to school there only at the age of 7. The torture does not start at 2 ½ as it is elsewhere.
*• A...
Habarini wakuu,
Naomba mnisaidie kujua kama mwanafunzi amefaulu masomo ya Physics, Chemistry na Mathematics na pia ana ufaulu wa "B" O-level
Je ataweza kusomea udaktari?
Nawasilisha,
Habari za mda wadau
Kwanza poleni kwa majukumu.
Nimefungua huu uzi nikiomba mnishauri ni degree gani nzuri naweza fanya kwa masomo na ufaulu wangu
HGE
Hist C
Geo C
Eco C
Bam D
Na 1 ya point 9...
Niaje Wazeiyaaaah....
Ebana leo niko serious kidogo hivo nahitaji pia wachangiaji serious.
Mtakaoleta kebehi natanguliza shukran tuu..
issue iko hivi:
Mdogo wangu anajiandaa kuingia chuo mwaka...
Kama ni mbwai na iwe hivyo tu, mtaka cha uvunguni sharti akunje kiuno watanzania. Kuna jambo ambalo nazani serikali ya awamu iliyopita haikuwa makini na namna ambavyo walimu wanaandaliwa pamoja na...
Jamani naomba mnisaidie huu mkanganyiko kwani nimeshachanganyikiwa.Nacte mpaka sasa hawajafungua udahili kwa upande wa undergraduate siku ambayo wanafungua nacte, loan bodi wanafunga maombi ya...
wakuu mi ni mhitimu wa form six HGL mwanzo nilipenda education sababu ilikua na priority na ajira ya uhakika kwa hali ilivyo sasa nimeona bora nisome logistic and transport sababu hata ajira za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.