MH PROF NDALICHAKO. NAOMBA UTUMBUE JIPU LIITWALO MAAFISA ELIMU WA HALMASHAURI.
Habari kwenu,narudi tena kutumia kalamu yangu kukosoa mwenendo wa maafisa elimu wa nchi yetu pendwa ya Tanzania...
Nambo mwenye kujua atusaidia ili tujue wenzetu wanafanyaje maana sisi kila awamu na yake.
Sitashangaa Raisi ajae akaja na minimum qualifications kuwa ni point 5 au hata akaturudisha kwenye point...
Ndugu wana JF......
Naombeni ufafanuzi kwa anayejua kuhusu hili je kunauwezekano kwa waliofanya maombi katika vyuo kama butimba, mpwapwa n. K kukosa nafasi ya kuchaguliwa kutokana na wanafunzi...
Za asubuhi wana JAMII
O-level III-24
A-level III-17
GTSEE masomo 10 pass(A3,B5,C2)
DIPLOMA in secondary-PASS(GPA 2.3)
mie mwalimu lakini wa msingi miaka 8 sasa.
Vipi nifanyeji kufanikiwa degree ya...
Nina Mdogo wangu hajafanikiwa kupata selection kwa kuwa ufaulu wake haupo vizuri sana.
Geography C,Kiswahili C ,History D ,English C ,Biology C ,maths F .
Kwa ufaulu huu anaweza kwenda A -Level ...
Habari zenu wana jamii forums wenzangu..natumain ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siki!
Nmekuja hapa nna shida nna ndugu yangu kamaliza mwaka huu 2016 kidato cha6 kapata div3 ya...
Habari zenu Wana JF, katika pitapita zangu kwenye Guidebook ya TCU nimekutana na hiki; kwamba Bachelor of Art with Education ni Priority faculty kwa St. Augustin University of Tanzania. Ni upi...
Habari wakuu
Nimeangalia swala la vigezo vya kuingia vyuoni kwa wanafunzi wa kidato cha sita nikagundua ni ubabaishaji sana hasa kwenye muundo mzima wa serikali. Hatuwezi kujenga nchi imara kama...
Habari wadau, naona kwenye zile form za mkopo baada ya ku print wanahitaji uambatanishe cheti cha matokeo ya kidato cha 6 na nimeulizia shuleni wakasema bado hayajatumwa, hapa nafanya nini tafadhali?
Habari yenu? Kutokana na wadau weng kuuliza kuhusu ushauri wa kozi gani za kuchagua kutokana na matokeo aliyopata,nimeamua kuweka hapa ushauri ambao naamini kwa asalimia zaidi 90% nitagusa kila...
Jamani na mdogo wangu kamaliza kidato cha sita mwaka huu mchepuo wa HGL matokeo yake ni D ya GEOGRAPHY,E y ENGLISH, na E ya HISTORY..sasa naomba kujua chuo atakachoweza kupata diploma endapo NACTE...
Anayejua chuo kingne tofauti na SEKOMU kinachotoa kozi hiyo ni chuo gani na je ugumu au urahisi ukoje?
Nipo interested kupiga hyo degree nikawasaidie ndugu zangu walemavu
msaada please kwa wanachuo
Jamani naomba msaada mimi nimepata E flati HGL nataka kwenda degree vp naweza kufanya application bila TCU?
Kama naweza, inaweza kuwa shilingi ngapi kutoa ili nifanikiwe kwa sababu baba yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.