Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
naomba ushauri wa faculty ipi ya kusomea ambayo ipo sokoni kwa wakati huu, ,nimesoma mchepuo wa pcm na ufaulu wangu waniruhusu kusoma faculty yoyote inayonihusu,,, msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
650 Views
Wakuu nitajieni apps bomba kwa tecno H6
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Hatimae serikali yafikia kilele cha kuipandisha hadhi SAYANSI NA TEKNOLOJIA baada ya guided book kwa wanafunzi Waliomaliza NA kuhitaji kutumia matokeo ya kidato cha 6 kuingia shule kuonesha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam alaykum wanajukwaa....naomba msaada wa kuelekezwa vigezo vya kujiunga kozi ya sheria kwa ngazi ya cheti at udsm, gharama na namna ya kupata admission zake.. shukrani sana
1 Reactions
8 Replies
13K Views
Wakuu habari nina kijana wangu nataka kumtafutia chuo cha nje ya nchi ambacho kinatambulika na serikali yetu ili hata akimaliza kusoma asipate tabu kwenye maswala ya kupata ajira...Lakini pia...
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Jaman habarini za asubuhi mimi nmehitimi kidato cha 6 mwaka huu 2016 na nimepata division 2 ya point 10 combonation HGL nataka nianze application leo na nimepewa pesa sasa sijui nianzie wapi yani...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumain mu wazma, naomba mwenye uelewa na koz hyo anisaidie ufafanuzi zaid nahtaji kujiunga pia
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Kwa anayefahamu hii programme ya bachelor of education and administration UDOM ,inakuwaje yaan unakuwa na Teaching subject(s) anisaidie
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu kwa anaekijua chuo cha mpwapwa vzur atupe maelekezo ya chuo jinsi kilivyo na mazngra yake kiujumla
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Kichwa kinajieleza
1 Reactions
19 Replies
31K Views
Naomba kufahamau kama hizo result slip zimetoka kama bado zitatoka lini na kama ni lazima ziambatanishwe katika kuomba mkopo kwenye fomu ya maombi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bodi ya mikopo Tanzania (HESLB) imetangaza kuanza kupokea maombi rasmi ya mikopo kwa kutoa Guidelines kwa mwaka 2016/2017 hivyo wananchi wote mnaombwa kusoma kwa makini masharti kabla ya kufanya...
8 Reactions
575 Replies
110K Views
Habari zenu wakuu, Mtu aliyesoma Diploma in accountancy anaweza kuchukua mkopo akienda degree?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
http://www.tcu.go.tz/images/documents/Undergraduare_Admission_Guidebook_2016_2017.pdf
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanaotarajia ku apply SAUT Mwanza kuweni makini. Kama ni mtoto wa fukara kama mimi usijaribu kuomba SAUT main campus, wapo kimaslai zaidi na hawajali hali ya mtu. Kwa mfano; Kuna huu mchezo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi serikali ina lengo gani kufunga admission ya MD UDOM (SFCUHAS). Je inataka ipunguze idadi ya madaktar au? Msaada plz.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi Mwecau nyie mlishamalizana na bodi ya mikopo? Je boom lote pamoja na hela za field wenzetu mmepata? Maana kuna vyuo wanahakiki kwanza wanafunzi hewa!
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Hii elimu ina siasa ndani yake? Nauliza tu. Ushauri: Mkimaliza kufungia vyuo vya private mfuate na shule za A-level, O-level private pia. Zibaki za serikali tu. Naona UDOM mmeiingiza kama kuitoa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea. Je na wao wanaomba tena mkopo online au kama alikuwa na mkopo na mwaka huu atahesabika anaendelea na mkopo aliokuwa amepata...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Back
Top Bottom