Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau anaejua kuhusu bachelor of science wildlife managemant anijuze inahusika na nini na soko lake kwenye ajira likoje? karibu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
bodi ya mikopo hivi inakuwaje kwa mtu ambaye amesha apply mkopo kabla ya kuona vigezo vipya vya TCU kwamba lazima uwe na upper second (kuanzia GPA ya 3.5) kwa wale waliomaliza DIPLOMA kwa mtazamo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimo kati ya waliochaguliwa kwenda chuo tajwa hapo juu!!! Ila kiukweli sijui ni lini watafungua. Kwa anayejua atusaidie tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naomba kujua summary ya vitu vinavyohitajika ili kuomba mkopo loan board. Kuna vingine nina uhakika navyo lakini naomba kujua kama kuna kingine nimesahau. Cheti cha form 4 Picha ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa kweli inasikitisha sana kwa rais wa wanafunzi SUA anapopanga kulazimisha kubakia katika madaraka japo muda wake kimasomo umemalizika. hii imetokana na yeye kwa kushirikiana mshauri wa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau hebu nipeni ushauri nisije nikabugi step Nimemaliza ordinary diploma ya information technology nw ninataka niombe degree na ninategemea kubadilisha course so munanishauri ipi itakua bora...
0 Reactions
1 Replies
704 Views
Habari wana JF na mdogo angu ana diploma ya development planning na GPA ya 3.8 unadhani achague kozi gani kwenda bachelor degree? Msaada wa mawazo yenu , aksante!!
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana JF kati ya Udom na Mwalimu Nyerere memorial academy kigamboni kipi ni chuo kizuri kwa ajili ya kusoma programme yoyote ya shahada
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanafunzi 2,739 mbalimbali hawakujitokeza kuhakikiwa wakati Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ilipofanya shughuli hiyo katika vyuo 26 nchini. Kaimu Mkurugenzi wa bodi hiyo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ila kwawale wanga wa coz za afya hakuna hata moja.
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Kwa muda mrefu tcu walitangaza kwenye tovuti yao kwamba watafungua maombi kwa njia ya cas tarehe 20/7/2016. Leo tarehe 20/7/2016 saa 2.15 asubuhi nimeingia kwenye website yao wanasema cas...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
  • Closed
Hili swala limewachanganya sana watu lakini nahisi labda pengine hawakuliewa hili suala vizuri, Ni kweli G.P.A ni 3.5 lakini ni kwa (university) yani Vyuo vikuu. Mfano Tanzania vyuo vikuu nikama...
4 Reactions
101 Replies
26K Views
Samahani kwa aliye na TCU guide book 2016/2017 pdf naomba msaada aitume humu, kama haipo iyo current one basi hata ya miaka iliyopita msaada pia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
najaribu ku save index number ya form six system haikubali inaniandikia wrong index number!waliopata changamoto hii kwenye ujazaji wa form za mikopo tujuzane.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kuna mtazamo flani au mawazo flani yalijengeka kwa watanzania kwamba kuwa na elimu YA degree sio issue tena lakn hii imetokana nakutokuwa na uongoz mzur wa kufanya elimu yeti iwe na thaman lakn...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ningependa kujua sabab kwa yeyote anayrjua sabab ambayo ni tofaut ya ile aliyoitoa prof ndalichako ya kuhakik majina maana hii sababu naona kama haina mashiko. Au ndo uchumi umebanwaaa na hazina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
habar wa jf leo nimeptia gazeti la mwananchi nlilichokiona ni kwamba TCAA kufungia wabunifu wa vyombo vya anga tz my take; kwann serikali inapoteza vipaj kama hivi bila kusaidiwa? tatizo watz...
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Wakuu, kuna hali ya kuchanganya.. kati kile kipengele cha kuambatanisha cheti cha form 6.. wapo wanaosema kua waliomaliza mwaka huu wanatuma ivoivo na wapo wanaosema una ambatanisha result slip...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi ni kipi bora kati ya B.Sc. Economics ya MZUMBE na B.A.Economics ya UDSM.na kwanini?na zinatofautiana vipi? Asanteni!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom