Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wanajf. Najua TCU inalengo zuri Sana la kuinua elimu ILA mimi nitofautiane nao kidogo kwenye kuwawekea vigezo sawa watu waliosoma science a level na watu waliosoma arts a level Mfano...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Wadau habari zenu, binafsi katika maisha yangu ya chuo kikuu kuna hili somo la ECONOMETRICS kwa wale walio soma BA IN ECONOMICS yani pure economics haijalishi chuo gani au ulifundishwa na...
3 Reactions
198 Replies
25K Views
Habari zenu wana_JF, form six, nmepat EES... PCM naweza kufanya nini hapo.... Au nikwende VETA nikachukue ufundi?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimepata dv 3 ya point 13 na nimesoma CBG .ila chemistry nina E niaombe coz gani kulingana na ufaulu wangu na comb niliyosoma
0 Reactions
3 Replies
879 Views
Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+ Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level...
2 Reactions
90 Replies
8K Views
Mimi nmemaliza kidato cha sita mwaka huu 2016 na nmepata 3 ya 14.kwnye combinationa yangu pcm nimepata EED sasa nahofia kuapply.......Ila kuna rafik yangu yeye alikua ECA na amepata kama mimi ila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie kwa hili je account yangu ya tcu baada ya kuchagua vyuo hamna sehemu pa kucomfirm au ndio naacha vilevile naombeni msaada mimi bado mgeni kwa haya mambo.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari,,, naomba kujua vyuo vya LUGALO MILLITARY MEDICAL SCHOOL NA KIBAHA COLLEGE OF HEALTH AND SCIENCE vina hostel palepale au havina, na je ada zao sh ngap kwa coz ya clinical medicine...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
B.sc.Agronomy B.sc.in Forestry B sc.food science and technology B.Sc.in Agricultural education and Biological science B.sc.in Aquaculture. B.sc in Nursing. naombeni msaada program gani nzuri na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nawaomben msichoke kuendelea kunitolea ufafanuz juu ya maswali hya. Ninaomba mwenye kujua chuo hiki huwa kinatoa koz zip na zip anieleze kama kimesajiriwa kwa uhakika
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, Kama mada inavyojieleza, mdogo wangu amehitimu kidato cha sita combination ya PCB, lakini matokeo yake si mazuri sana kwani amepata Physics - E, Chemistry - S na Biology - S...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naomba kuuliza, Je Chuo cha Kampa matatizo ya usajili yameisha?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi. Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu (2016) na nimepata Div 1.9 kwa mchepuo wa PCB. Kwa ufaulu huu naweza apply vyuo kwa mpangilio ufuatao: 1. MUHAS 2. UDSM Naombeni...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu. NI hivi mimi ni wa naifahamu sytem ya zamani ya kuingia certificate na diploma kabla ya kuja kwa hii BRN (big result now) ambayo ni kwa miaka ya 2014 na 2015. sasa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani nisaidieni wilaya ya mvomero shule za public zenye masomo ya uchumi na biashara.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnitajie apps zenye masomo mbali mbali kwa njia ya videos
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wandugu, naomba niulize kama kutakua na application za vyuo (diploma) kwa tuliokosa cutting point ya 4.0 na inaweza ikawa lini?
0 Reactions
20 Replies
6K Views
1.Form four results,DIV 3 pt 23 with four credits and the rest are Ds. 2.Teaching certificate with GPA of 3.8 3.2016 Form 6 results DIV 3 pt 16 with GPA 3.5,combi HKL=SCF Kwa hizo sifa zote kwa...
0 Reactions
0 Replies
548 Views
HIVI NI SAHIHI KUAPPLY DIRECT DEGREE CHUONI KAMA WANAVYOFANYA OPEN UNIVERSITY KWA MWAKA HUU AU NI WEZI??
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Daaaa! Sasa kwa wengine ndoto ya kwenda chuo kikuu imebaki kuwa ndoto kwa hawa wakubwa kuweka hiyo kwamba gpa 3.5 kwenda juu mtu wa diploma na form 6 point 4 kupanda. Jamani kweli tutafika halafu...
9 Reactions
101 Replies
12K Views
Back
Top Bottom