Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nawatakieni Kila La Kheri Wana Jukwaa Kwa Ushauri,maelekezo Na Mambo Yote Katika Kipindi Chote Tulichokuwa Tukisubiri Matokeo Hatimaye Post Za Advance Sasa Naachia Ngaz Rasm Tutaonana Likizo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
WanaJF nahitaji kujua hiyo exam inacover nini? Nimeapply diploma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
anayefahamu namna ya kuangalia majina ya kidato cha tano kwa walioomba uhamisho wa juu kwa juu ( kwa njia ya wizara)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je, naweza kupata shahada ya elimu nikiwakati nikiwa niko na ngazi ya cheti?.msaada wadau!!!
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Nimesikia fununu yamkuwa kuna majina ya wanafunzi waliokosea kuomba mkopo,inatakiwa waombe tena lakinini siyaoni kwenye web yao ambaye ameyaona msaada ayapost humu tuweze kujua nini tufanye
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba msaada wenu. Kwa mtu mwenye diploma ya nursing na anazo minimum requirements yaani ana grade B na anataka kwenda bachelor ya nursing, je anaanzia NACTE before kuomba TCU au...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu kwanza nawatakia eid mubaraka ila cha pili nilikua naomba kujuzwa kama ndugu zetu walimu baada ya matokeo yao kuna habar zimezagaa kuwa wanapelekwa jkt,je kuna ukweli wowote tafadhali naomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wasanii na watangazaji waiingilia kati kuhimiza serikali iweze kuwasaidia wanafunzi hao matatizo yao yatatuliwe ijiwepo lile la kuhamishwa kupelekwa vyuo vingine Nimeipata hii kwa mdau ambaye...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajukwaa naomba mwenye contacts za karatu sekondari anipatie, kuna mdogo wangu amepangiwa hapo kujiunga kidato cha tano lakini hajapa form ya join instruction.Nikipata contacts za headmaster au...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
habari za saa hizi wana javi. naomba maelekezo yenu kwa wale wenye uzoefu humu. Nimemaliza chuo 2012 na nikapangwa kazini 2013 wilaya ya Rungwe. sikuweza kuripoti kwa sababu ya matatizo. mwaka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nmechaguliwa tabora boys ila nataka kuhamia kibaha.nimeenda tamisemi jana wakasema waoo hawafanyi kazi iyo tena..so nifanyaje wapendwa?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Wanajukwaa naomba mwenye contacts za kibondo sekondari anipatie, kuna mdogo wangu amepangiwa hapo kujiunga kidato cha tano. Nikipata contacts za headmaster au mwalimu yeyote wa hapo ntashukuru sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa mtandaoni rasmi na Baraza la Mitihani nchini almaarufu kama NECTA. Kuyaona matokeo hayo ingia hapa:NECTA | View News...
7 Reactions
121 Replies
43K Views
Habari Wana Jamnvi; Msaada Kwa Kozi Bora Za Kusoma Kwa Mchepuo Wa Pcb Kwa Matokeo Yafuatayo.Physics D,chem C,bio C. Nahitaji Mawazo Yenu Kuni Natarajia Ku Aply Mwaka Huu Na Nime Itim Mwaka 1014
0 Reactions
32 Replies
15K Views
Wakuu, Kwanza naomba msamaha kwa kuweka uzi huu katika jukwaa lisilohusika. Samahani sana. Pili naomba kusaidiwa maeneo inapopatikana shule ya sekondari ya Mt. Crispin (St, Crispin's Secondary...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wasalaam wakuu! Binafsi nimeona tushirikishane kimawazo katika kulizungumzia hili jambo muhimu sana katika elimu yetu nchini! Nimejaribu kutafakari sana kuhusu suala la zinazoitwa shule za...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Wadau, Anaefahamu maeneo shule hii ya St. Crispin Secondary School ilipo hapa Dar anisaidie. Pia anaweza kuni-text kwa 0788936187
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Heshima kwenu wakuu wote wa humu. Niwaletee habari mpya kwa wale wenzangu na mimi walioomba kusitisha nafasi zao na kutuma maombi ya kuomba upya vyuo kwa mwaka wa masomo 2015/16 TCU wameachia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habar wadau...yeyote mwenye uzoefu au amefaidika na masters scholarship zinazotolewa na serikali ya Norway. .naomba mtupatie intro na mengi unayohisi yanaweza kutusaidia...nimecheki ktk mitandao...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…