Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwanza habari ndugu zangu, mie napata shida kujua postgraduate diploma ni kitu gani na sifa zake ili uweze kusoma ni nini? Maana bado sijaelewa vizuri hapo mwenye ufahamu anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukiangalia matokeo ya form VI toka BRN ianzishwe yamekuwa yakipanda mwaka hadi mwaka. Mimi binafsi huwa najiuliza ni nini kinacho boost matokeo yao ikiwa walimu morali yao ya kufanya kazi iko vile...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Suala la Wanafunzi wa Kampala lachukua sura nyingine baada ya Wanafunzi zaidi ya 400 wa Chuo kikuu cha Kampala katika kozi za afya kuandamana mpaka Wizara ya Elimu baada ya kutoridhishwa na majibu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF!!!!! Kuna mdogo wangu kapangwa Songe sekondari kuendelea na kidato cha tano sasa tatizo sijui hii shule ilipo pia ubora wake!!!! kwa wale wanaoifahamu shule hii naombeni...
0 Reactions
35 Replies
13K Views
Wakuu amani iwe kwenu...matokeo yng ni haya Gs-E Hist-B Kisw-C Engl-B napenda kuchukua education,vyuo vp vzr naweza kuomba na kukubaliwa?
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Habari, Napenda kuzipa pole shule zifuatazo kwa matokeo mabovu ya kidato cha sita, kwanza kabisa META sekondari Ya Mbeya, Kwiru ya Morogoro, Mtwara tech ya Mtwara, Iwalanje ya Mbeya, Lugoba ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kwamba mfanyakazi/mwajiriwa akienda kusoma(kujiendeleza kielimu) anapata mkopo au? Naomba kuwasilisha.!! Asante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu,salaam. Naomba mtu mwenye admission letter ya UDSM (for postgraduates studies-course yoyote) ya mwak juzi au mwaka jana au mwaka huu anisaidie/anitumie tafadhari,nina shida nayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUSOGEZWA MBELE KWA TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari Ndugu! kwa yeyote aliyepata majina yawalio chuguliwa ualimu awamu ya pili 2015/2016 naomba anijulishe Ahsanten
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Ndugu wana jamvi Itakumbukwa tunatofautiana sana kielimu kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita 1. Mabadiliko ya mitaala imewafanya vijana wengi kuwa na upeo tofauti, viongozi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeweza kutoa msaada.. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Hivi nikweli matokeo hayatoki kwa mwanafunzi ambaye mathalani alifanya mitihani yote ya chem& A.maths lakini ktk phys akawa hakuweza kufanya practical tu' kutokana na ugonjwa wakati anamalizia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kujua kama mwanafunzi alifanya mitihani yake lakini matokeo yasitoke na badala yake ikawekwa herufi E na ALAMA HII * Ina maana gani?
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu. Shukrani za dhati ziwaendee wale wotewanaofakisha jukwaa hili la Elimu katika nyanja zote ndani ya JF ila ningependa msaadazaidi utolewe pia kwa Elimu ya upili wa juu ili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wandugu walimu, matokeo ya ualimu ngazi ya cheti na diploma yametoka leo saa tisa. Kuyapata tembelea www.necta.go.tz
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Jamani naombeni mwenyekujua sifuri (0) kwa tarakimu za kirumi inaandikwaje?? Km vile 10=x,9=ix. Je 0=???
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nilipomaliza kidato cha nne nikajaribu maisha yakawa magumu nikaona bora nirudi shule labda hali ingebadilika hivyo nikajiunga na high school baada ya kumaliza nikarudi kitaa kutafuta maisha...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Jamani natumaini mu wazima wa afya;Naombeni ushauri katika hili.... Kwa sasa Mimi ni mwalimu mpya nimeajiriwa katika halmashauri ya Ikungi Singida mwaka huu..(japo ni mwezi wa 3 sasa sijalipwa...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Karibia wk sasa,ninilipa hela kwa ajjil ya appl za nacte kwa mpesa,voda wakaniletea msg kuwa imedhibitishwa imetumwa nacte,lkn nacte mpaka sasa hawajanitumia username na password,wakat...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…