Wakuu kwa mfumo wa utendaji wa vyombo vya serikali ni complicated. mfano kesi ya hiki chuo.
hiki chuo hawatoi kozi za afya tu kuna kozi mbalimbali ambapo nina uhakika kwa kozi zisizo za afya
TCU...
Matokeo mtihani wa form IV - 2013, kiswahili C, EnglishC, Civics D , History D , Biology F , GeographyF, MathsF:
Naombeni msaada wa chuo chenye unafuu wa bei, pia ajira zinapatikana baada ya...
Wakuu poleni kwa majukumu. Wadau mliosomea hiyo kozi naomba mtusaidie kwenye ajira soko likoje. Mimi nimesoma Bed Arts, kazi nimefanya miaka mitatu. Naomba ushauri wenu, je nikasome hiyo kozi...
Naomba ushauri kwawalio na wanaosoma chuo cha mzumbe bachelor of law eti kwakuwa wanatoa kwa miaka 3 ubora wake n tofauti na vyuo vitoavyo kwa miaka 4 ?
Wakuu habar zenu
Twende kwenye mada mimi ni kijana, nilipenda sana siku moja niishe katika ndoto zangu ambapo nilipenda nije niwe mtu fulani katika jamii yangu nisaidie watanzania wenzangu na hata...
Mimi n medical student nipo mwaka 6 katika nchi x huku nje ya nchi, ni mwaka wangu wa mwisho ila nilitaka kufaya internship tanzania nyumbani, chuo changu huku kipo tayari kuniruhusu na ipo hvyo...
Hii inchi tutagawana keki ya taifa. Hawa wasomi kwa uchambuzi wao wa mambo mbali mbali hasa ya kisiasa huwa nawakubali sana. Wasomi wasio weka njaa mbele kabisa
Mimi n medical student nipo mwaka 6 katika nchi x huku nje ya nchi, ni mwaka wangu wa mwisho ila nilitaka kufaya internship tanzania nyumbani, chuo changu huku kipo tayari kuniruhusu na ipo hvyo...
hbr wana jamvi nimemaliza 2013, Nina division IV point 32, chemist-D, Biology -D, Maths-D, Physics-E. napanda sana kusoma masomo ya phamacy, wapi ntapata kujiunga na certificate ya phamarcy
mimi ni kijana niliye maliza diploma ya architecture na nina tamani sana kujaribu bahati yangu kupitia scholarship ila sifahamu ni jinsi gani yaku apply. naombi msaada juu ya hilo
Habari zenu wapendwa. Ndugu zangu naomba kusaidiwa kuhusu hyo shule nasikia ipo Morogoro lakini sifahamu ni sehemu gani hapo ilipo, ada bei gani, utaratibu wa kumpeleka mtoto pale kusoma upoje na...
Salaam GT!
Mdogo wangu amehitimu form four mwaka 2014 ufaulu wake katika mtihani wa NECTA ni Civics- D, History - D, Geog - E, Kiswahili - D, English - C, Physics - C, Chemistry - C, Biology - C...
je!! walimu wanaweza kunufaika na dr. pombe kwa kuwa yeye n mwalimu. alisema kero yenu kuu naijua maana na mm n mwalimu! pia alisema hata kama wanafunzi watasomea chini ya mti ila kama mwalimu...
Napenda kujulishwa kuhusu hali ya shule ya Ihungo kama vile
Sare za shule
Malazi
Huduma za msingi kama vyoo na maji pamoja na hospital na mwisho
TAALUMA YAKE
Za mchana huu wrote, wakubwa shimamoo..
Mimi no mwanafunzi Wa kozi tajwa hapo juu...
Ninaomba upembuzi Wa uwezekano Wa kusoma master ya biostatistics kama ufaulu utakuwa umejitosheleza.
Ila o...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.