Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Niko Dodoma, nilimuomba ndugu yangu kunilipia NACTE, ila akawa amechelewa, nikaamua kulipia. Kumbe muda huohuo akawa amenilipia. Nikawa nina namba mbili za 50,000, ile yake nimeitumia kufanya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada wakuu mwenye uelewa wa kozi inayotolewa na livestock training agency ya Animal health and production VIP kuhusu uwanja wake wa ajira na nimeona ni chuo kimoja ambacho kinatoa degree...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana jukwaa nina Diploma ya umeme je inawezekana kusoma Telecommunications au Information Technology Degree yani ntumie cheti cha diploma electrical ku apply degree kati ya hizo course...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Wadau salam mbele shule hizi za St. Mary's zimekuwa kama mtambo wa kuzalisha vijana wanaopenda mapenzi ya jinsia moja (Mashoga). Pengine ni kutokana na namna lifestyle ya hapo shuleni kuwa...
3 Reactions
41 Replies
22K Views
Jaman ee hv ukitaka kusomea engnerng ya petroleum ni miaka mingapi? na kutoka adv nisome combi gan? na je mtu mwenye diplom anaweza kuajiriwa? naomben msahada wenu wanandugu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba kufahamishwa,k una mtu kamaliza form 4 mwaka 2007 na anataka kuomba diploma in clinical medicine,je anaweza kuomba chuo cha serikali?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari,wanafunzi Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Kwenda Shule Ya Minaki Wanaripoti Lini? Pia Naomba Namba Za Mwalimu Wa Shule Hiyo. Asanteni Sana Ataenisaidia.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar,kwa vijana mliochaguliwa Mwinyi high school(MKURANGA-PWANI) mnakaribishwa kwa Maswali.Ikiwemo vifaa mtakavyopenda kuja kukuta vinapatikana shule na kununulia hapo mtoe mapendekezo.
1 Reactions
0 Replies
8K Views
Ndugu zangu natumaini ni wazima mimi nasoma mwaka wa kwanza civil eng pale MUST. Natafuta sehemu ya kufanyia field practical kwani hadi sasa sijapata kila ninapoenda naambiwa wamejaaa hivyo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza ni lini NACTE watatoa post za vyuo?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Afisa kilimo , njoo wilaya ya handeni nije wilaya za kilolo, iringa vijijin au hata iringa mjin. nifikie kwa +255753235211
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Njoo magu mwanza nije - kahama, -shy vijijin -Sengerema -misungwi -geita
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari wana JF, tunahitaji mwalimu wa masomo tajwa hapo juu. Awe na diploma au degree Wasichana wanapewa kipaumbele. Tuma CV yako kupitia prolim54@yahoo.com Au 0719419204 Mjulishe mwenye uzoefu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Njoo mbeya chunya mjini chokaa sec nije handeni 0712442829
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, Kwa wale wote wanaotarajia kusoma Economics Commerce and Accountancy(ECA). Twisheni nzuri inapatikana kwa masomo hayo, kukuwezesha kukupa msingi mzuri wa kuweza kufaulu masomo yako vizuri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watanzania! Kumekuwa na unyanyasaji mkubwa wamalipo na stahiki halali za wakufunzi.Tumeajiriwa sisi ni mwaka wa sita leo, mshahara unachelewa, tunafundisha muda wa ziada hatulipwi mpaka miezi 4...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nimemaliza kidato cha nne 2014 nilifaulu kiasi, PHYS C, CHEM C, BIOLOGY B na Mathematics C. Nimechaguliwa PCM but nahitaji kusoma course ya medical officer chuo cha afya, mwenye kujua naomba...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama tittle inavyo someka,hawa wanachuo waliambiwa watapewa mkopo na wakatuma maombi online pia hard copies zikatumwa bodi ya mikopo, tangu mwezi wa pili kimya na hakuna taarifa yoyote..dah noma kweli
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawasalim Kwa Imani Zenu Kwa wenye uzoefu wa masomo ya sayansi msaada wenu tafadhari Mi ni Mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB na ufaulu wangu ni div three ya point 13.Ph.D,che Na Bio C...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wana Jamvi, Kama kuna mtu anaifahamu shule hii na oia jinsi ya kupata joining instruction kwa wasichana wanaokwenda Form V , naomba msaada. Au kama kuna namba ya Mwalimu mkuu
0 Reactions
20 Replies
15K Views
Back
Top Bottom