Habarini! Kuna mtu anaitwa annania samweli alisomea mbeya secondary school centre. Kuna sehemu alikisahau cheti chake cha o'level arusha. Naomba msaidie kurusha kwenye groups mbalimbali na fb ili...
ndugu zangu wadau mlosoma mambwe secondary nawatafta tujadiriane hapa kwani chule yenu imebadilika sana na mabadiliko yenyewe ni hasi kwa maana wanafunzi wa shule yetu kwa sasa hawatambui umuhimu...
wakuu anaijua hio shule na jinsi ya kufika huko..ipo mkoa wa rukwa ila ndio hatujui hata pa kuanzia..dogo ana merit ya 3.3 na b+ zote za pcmb ila katupwa huko pcm
Wana JF naombeni kujua kuhusu degree ya pharmacy na soko lake bongo hii na pia chuo kizuri cha kusomea..na je inaugumu gani, thanks in advance!
Bachelor's Degree in Pharmacy
Students in these...
Habari zenu ndugu.
Naombeni kwa anajua chuo chochote kizuri na kilichosajiliwa cha ualimu anielekeze.
Nina ndugu yangu amemaliza form 4 mwaka jana kapata 4 ya 39,ana C moja,D moja na E...
Join our CISA Classes today for the December 2015 Examination and enhance your career today. Registration is now open for our review classes scheduled to begin on the 1st of July 2015.
Contact us...
Kuna ndugu amepata C masomo yote isipokuwa physics D na Civics E; hapo anaweza kusoma combination ya PCM
NITANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI!!
:shock::poa
Mimi ni mwanafunzi niliye malza form four mwaka jana ila sijafanikiwa kupangiwa shule japo kuwa combination ime balance nilikuwa nasoma science na nmepanga niende chuo biashara, Je inawezekana...
Natafuta shule ya private ya aina yoyote ile yenye ada chini ya mil.1
iwepo dar maeneo yoyote yale,iwe inafundisha comb 'cbg&egm',anaeijua anijulishe zaidi ilipo na ada ni shilingi ngapi
TANGAZO: CHADEMA STUDENT ORGANIZATION (CHASO-Ifakara).
Tunayofuraha kubwa kuwakaribisha wote wenye mapenzi mema,bila kujali itikadi zetu katika mahafali ya kuwaaga ndugu zetu wa CHASO-Ifakara...