Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kati ya PCB na PCM ipi ni kombi ngumu kusoma advance na ipi ina ajira nyingi ukiisoma? Pia ni ipi inaongoza kwa kufelisha?
0 Reactions
64 Replies
29K Views
Habari wakuu,.! Naomba kujua ada ya shule ya makongo kwa kidato cha sita mchepuo wa art. Mwenye kufahamu naomba anijuze ada ya bweni na shule maana najaribu kuangalia kwenye website yao naona...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa nadhani muwazima , kwa uzoefu nilionao hapa chuo wanafunzi wasiokua na boom huwa wanaishi maisha magumu Sana hiyo ni kawaida kwa mtanzania halisi ,kama umesoma arts,Kama umefaulu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa Wale Tulio Soma Meta Sekondari Karibu Hapa Tukumbushane Maisha Ya Kishule
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama unataka kuelimika na uweze kuuza au kununua online, unaalikwa ukajifunze bure kwenye tovuti maalumu ya kwa elimu hiyo bonyeza tu hapa>>>>http://www.kalumbilo.co.tz/fahamu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani ndugu zangu. Mchango wenu ni wa maana na wa thamani mno kuhusu mada hapo juu. Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Plz kwa jina naitwa Edwin Daniel,ninajitokeza mbele yenu kuomba msaada kwani cna sehemu nyingine ya kutegemea..Mimi ni mtoto wa 6 na wa mwisho katika familia yangu na kwa bahati mbaya ndugu zangu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Njoo monduli nije mbeya! Naitwa Doroth Willium 0658606945
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NAOMBA urafiki na mtu ALIYE somea fani ya oil and gas management Kwa sasa mm bado niko chuo nafanya master ndo naingia mwaka wa 2 Niko nje ya nchi.. Naitaji RAFIKI ALIYE kwenye fani hiyo.. Send Me...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
mambo vipi watu wangu nimemaliza kidato cha sita mwaka huu ila nili reseat mthiani kupata credit moja je nina sifa za kupata mkopo?? katika kujaza index number ya form 4 ntajaza hipi kati ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ur welcome at udom...life is so cool with good facilities..so usikilize ya watu...na ujue kuwa elimu popote..na usifuate mkumbo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Samahani sana wakubwa naomba niwasiliane na watu tajwa hapo juu kupitia 0683776379
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habar wakuu ni Jana tu chuo cha elimu ya biashara(CBE) campus ya Dodoma kilifanya uchaguz mkuu wa kumpata rais hatimaye ndug. Shughaib Abdi akashinda kinyang`anyiro hicho.sasa vita imehamia kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini Wadau Ninaomba kuelekezwa kama kuna uwezekano wa kutengeneza cheti kimoja cha Mwanafunzi aliyerisit mitihani yake(baadhi) na kupata cheti kingine (cha pili baada ya kile cha mwanzoni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wana JF, kuna mwalimu yuko TANGA JIJI anatafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi awe anatoka IRINGA MANISPAA, idara ya sekondari_______amethibitishwa kazini kama...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Brief description: The Norwegian Government offer scholarship funds for the Quota Scholarship scheme for Bachelor’s, Master’s and PhD Students from Developing Countries at universities and...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
kwa mwl yeyote anayetaka kuja halmashauri ya LUSHOTO Mimi niende karatu idara ya secondari call 0765267711
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za kazi na poleni kwa majukukumu wanajukwaa Naomba nianze na historia fupi ya tatizo lilipoanzia……. Mimi nlikua mwanafunzi wa udsm tokea 2011-2014 B.A with education ,political...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu,heshima yenu kwanza! Pili naomba kuuliza ili kufundisha vyuoni(Universities,Institutes,Colleges) katika level mbalimbali(degree,diploma,certificate) Inampasa mfundishaji awe na ufaulu wa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nasikia kuna chuo cha ualimu kimeanzishwa na wazungu huko Mamire - Manyara kinaitwa Mamire TTC. Kwa wanaofahamu chuo hicho kinafundisha mitaala ya Tanzania au nje? Zipi ni sifa za kujiunga? Naomba...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…