Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

habr wana jf,nauliza chuo cha maji cha ubungo kwa degree ada yake shi ngapi?? bachelor of water resources and irrigation engmeerng
0 Reactions
1 Replies
811 Views
wadau kuna ndugu yangu amepoteza vyote vyote viwili vya form four(2002) na form six(2006) na alikua na mpango wa kuomba chuo mwaka huu,vp afanye nini maana amechanganyikiwa?na ukiripoti chuo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhali nijuzeni nahitaji kuifahamu wilaya ya Kwimba Mkoani mwanza, pako je?:sad::sad:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza inawezekana ku upgrade kutoka kwenye certificate kwenda degree moja kwa moj?.
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Jaman wanajamvi kuna mdogo wangu anasoma hiyo course. vipi hawa watu kweli wanaajiriwa serikalini?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
WAKUU HABARINI Nahitaji kusoma Masters ya ICT chuo kikuu huria, OUT, mwenye ufahamu ni jinsi gani natakiwa kuenenda, yaani wanadahili lini, gharama za kozi, muda gani ntachua kumaliza na mambo...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Nimecheki NACTE ili ni apply Chuo (degree programs), nimeshindwa kudownload guidebook
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Nimepangwa hii wilaya kikazi na serikali ni mgeni na sijui chochote kama mjuavyo hakuna kurudi nyuma.naomba kujulishwa kuhusu huduma za jamii katika eneo husika na mmoja mbili tatu za wanajamii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau ktk ajira mpya za ualimu mwaka huu nimepangwa huko halmashauri mpya ya kyerwa-kagera.kwa aliyepangwa huko au mwenyeji wa huko anielekeze vizuri
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habar naomba kuuliza chuo cha maji pale ubungo ada yake sh ngapi kwa level ta degree,in water resources an irrigation engineering
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Jamani wapendwa mimi natafuta chuo cha utalii chochote kilichopo dar es salaam naombe msada wenu viwe mchanganyiko
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari wakuu Nasikia kuna course za diploma udom ambazo unapata na MKOPO kwa walio soma masomo ya science course hizo ni zipi na SIFA za kujiunga na course hizo ni zipi asanteni
0 Reactions
4 Replies
922 Views
habarini wanajamvi nimesikia tetesi kwamba wanaoenda jeshi kwa mujibu wa sheria baada ya mafunzo hupewa fursa ya ku apply moja kwa moja kwa wanaopenda.,naomba kujuzwa kwa anaefahamu natanguliza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kumekuwa na uvumi kwamba mfumo wa zamani umerudishwa..huu ni ule wa kumwajili mwalimu aliye pata sup katika mtihani wake wa mwisho kisha ata sapua akiwa kazini.inahusisha walimu ngazi ya diploma...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Naomba waalimu wenzang tuwe mstar wa mbele katka kuhakikisha kuwa tunalikomboa taifa letu kwenye mikono ya wachache wanaojiona wao ndo wamepata elm bora kwa kutoa kile tulichopatiwa vyuon na jkt...
1 Reactions
1 Replies
960 Views
Mimi ni mwalimu(idara ya sekondari),napenda kubadilishana na mtu aliye sehemu yoyote katika mikoa ya SHINYANGA au MWANZA aje MARA-MUSOMA DC(MAJITA),aliye tayari ani pm kabla ya uhamisho wa June.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msaada tafadhari, cjawahi kabisa kufika Kagera, na nmepangwa Misenyi
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau tujulishane kwa waliokwisha ripoti kwenye vtuo vya kazi.. Je, ukiwa na TRANSCRIPT tu hujachukua cheti wanakataa usajili au
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Inasikitisha sana tunapopewa fomu za afya alafu ukienda zahanati unatakiwa kulipia elfu 8000 then hakuna kipimo unachofanyiwa na unagongewa muhuri ile fomu tu, Tunaomba serikali iangalie hili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni wiki mbili sasa tangu kutulia kwa mgomo uliokuwa ukiendelea kati ya wanafunzi na chuo kufuatia kutokuwapo na usajili wa kozi za afya ktk bodi mbalimbali za wataalamu ikiwemo dodi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…