Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakali Wa number mpooooo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau? Mimi ni mwanafunzi katika chuo cha ufundi mafinga lutheran vocation training centre, nipo mwaka wa pili katika fani ya umeme wa majumba na viwanda, sasa niliitaji ni wapi nitaweza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
As economists how u can get efficiency in welfare economy
0 Reactions
1 Replies
676 Views
[I]Wadau kuna jamaa yangu ni mwalimu tayari lkn anataka kujiendeleza lkn anataka asome masomo ya hisabati na jografia chuo kikuu bila ya kuwa na nyongeza ya somo lolote ,vp atumie mbnu gn ili...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna hawa watu laboratory technician wa shule za sekondari.awali nlisikia wanaajiriwa pamoja na walimu.kuna mwenye kujua zaidi? naona ni walimuti sasa ndo habari ya mjin
0 Reactions
1 Replies
3K Views
By Stacie Nevadomski Berdan The number of American students studying abroad is on the rise, and that is a very good thing. But more than just increasing the numbers, colleges would be well...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
habarini ndugu,naombeni tusaidiane hapa,kwenye application za vyuo vya afya mwaka huu wameweka capacity ya 25 kwa diploma na 45 kwa cheti,swali je hizi nafasi zitaongezeka baadaye au ndio basis...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu msaada wa vyuo gani ni vizuri kwa kuchukua degree hasa mambo ya business..tukiangalia pia na suala la cost katika hivyo vyuo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi ni kijana niliyemaliza form four mwaka 2014 matokeo yangu ni e 3,d 4 na c 2 nisome kozi gani? Na ualimu inawezekana? Au je naweza kusoma five private? Ahsanteni naomba ushauri please
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua vyuo ambavyo vnatoa clinical officer, pharmacy, na forestry...kwa anaejua Kama ni cha serikali niwekee kwenye mabano neno gvt na Kama sio niandikie neno pvt.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Jamiiforums! Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona. Naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Nafikiri hiki kitakuwa ni kitu kipwa kwa wengi ambao bado hawafika bodi hiyo kujua "LOAN STATUS" ya mikopo yao.Kuna kitu kinaitwa "PENALTY" na kingine kinaitwa "VALUE RETANTION FEE". Kwa wale...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Eti wakuu kati ya hizo Mbili ipi ni Nzuri kwa kuisoma..
0 Reactions
27 Replies
18K Views
Habar zenu wana jamvi mi natafuta chuo bora cha ukutubi anayevijua msaada plz...,shukran.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari!. Naombeni orodha ya vitabu vya kujibia vya KISWAHILI,ENGLISH LANGUAGE na LITERATURE IN ENGLISH kwa PC na SC.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Closed
Katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ametangaza ajira kwa walimu wa ngazi zote kuanzia cheti mpaka shahada ya ualimu na kuongeza kuwa ajira zitakazotoka waalimu watapangiwa shule...
0 Reactions
100 Replies
45K Views
wasalaaam.. . msaada jinsi ya kuandika CV stage mwanzo mwisho, shukrani natanguliza
0 Reactions
2 Replies
748 Views
Naomba mtujuze wakuu namna ya kuunga degree moja kwa moja kwani namaliza diploma yangu mwaka huu na ningependa kuendelea na masomo ya degree mwaka huu mwezi wa kumi. Kikubwa nahitaji zaidi...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Vp kiko vizuri kwa doctor of medicine.?:usa2:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni kijana, Elimu yangu ni Bsc degree Infomramtion Technology (IT). Nimefanya kazi za IT upande wa technical kwa miaka 4. Sasa naona wakati umefika wa mimi kujiendeleza kielemu ili niachane...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom