Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani naomba msaada kwa anayejua hili, ninahitaji kutumiwa cheti changu kutoka UDSMnaomba ushauri nifanyeje na niko mkoa wa mara. Kama kuna mtu anaufahamu anisaidie namna ya kufanya au...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
1. Usafiri wa kwenda shuleni na kurudi nyumbani jioni bado ni kero kwa wanafunzi wengi. Hadi saa 4 asubuhi bado baadhi ya wanafunzi wanakuwa wanasubiri usafiri vituo mbalimbali vya mabasi jijini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau,nina mpango wa kusomea masuala ya muziki hasa kupiga vyombo na kuimba/kuoperate vifaa vya muziki. Je,kabla ya kufanya maamuzi rasmi,nimewiwa kuwashirikisha wapendwa wangu ili...
0 Reactions
0 Replies
817 Views
habari zenu jf... kuna dgo anaomba ushauri anataka kuunga masters akshamaliza degree yake ya health management, anataka kuwa Epidemiologist..
0 Reactions
2 Replies
647 Views
Natumai kozi zinajieleza zenyewe, shida yangu kubwa hapa mi kufahamu utofauti wa kozi hizo mbili hasa katika value na mambo mengine kwani nataraji kusoma moja wapo hivyo ni vyema nikapata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
state university of Zanzibar jamani nataka no apply doctor of medicine ktk chuo hiki . je ni kizuri?
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Mimi ni mwalimu wa sekondari nipo biharamulo mjini nahitaji mwalimu wa sekondari aliyepangiwa dodoma anayehitaji kuhamia biharamulo tubadilishane kituo cha kazi kwani mimi nahitaji kuhamia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
OWM-TAMISEMI kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imeandaa mafunzo kwa Walimu wa Shule za Msingi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kufundisha Mtaala mpya wa Elimu ya Msingi Darasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani, wale wataalam wa afya kama Dental Therapists na Clinical Officers wanataka kusoma ADO au AMO mwaka huu wasibweteke kuomba shule Kusoma ADVANCED DIPLOMA. Application zote zipo kupitia...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
naomba msaada wana jamii namna ile cummulative g.p.a inavyocalculatiwa...mana inachanganya kiasi
0 Reactions
0 Replies
825 Views
After decades of talks on climate change and resource depletion, little has changed. Political leaders seem to be going in circles, and protest culture lacks a blueprint for the future. In 2015...
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Hayo yalikuwa maelezo ya afisa elimu mmoja aliyekuja ofisni kwetu akimwelezea mwalimu aliyekuwa kaja ofisi kwetu kufatilia masuala ya mshahara wake kisha alipomwona afisa yule akaanza kumwomba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa anayejua pesa ya kijikimu ni kiasi gani, anijuze haraka .
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna tetesi zote jaman kuhusu application ya vyuo kwa tulio maliza diploma mwaka wa kwanza
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Nimekutana na vijana wa kenya wakiwa katika mazungumzo ya kawaida lakini katika mazungumzo hayo nikashitushwa na kauli zao kua, kiswahili asili yake ni kenya eti kwa sababu wao ndio wanaongoza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
He is suggesting that in order to improve English language proficiency and confidence of the majority of graduates the medium of instruction in public primary school should be in English (follow...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Habar wakuu Jana nimetizama taarifa ya habari huko babati shule ya awali wanafunzi wanafundishwa na mwalimu ambae hajawai soma darasa lolote… sasa haya ni maajabu Pili shule ina uhaba wa vifaa...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Habari zenu ndg zangu, naitwa Mwl. MUSA natafuta mwalimu wa kubadilishana naye eneo la kazi yeye aje ikwiriri sekondari iliyopo hamlashauri ya wilaya ya rufiji mkoa wa pwani mimi niende mwanza...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Ndugu wanna Jamvi nimepata Physics D chemistry c. Biology B nataka kuaply chuo kizuri katk kozi ya MD ambacho hakipo mbali sana na Tanga
0 Reactions
45 Replies
10K Views
Natafuta mwalimu wa kubadilishana kituo cha kazi aje manispaa ya ilala mimi nije manispaa ya mtwara mikindani aliye tayari anisms 0713775850
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…