Habari wana JF...
Naombeni maoni na ushauri wenu.
Mdogo wangu anahitaji kusoma, katika chaguzi alizofikia ni kusoma cheti, land management and evaluation.
Kwa wale wanaoifahamu hii kozi vizuri...
Habari wanna jf
Naomba msaada kwa anaejua ivi vigezo vya kujiunga na chuo cha ualimu Ngazi ya cheti ama diploma vipi? Maana kuan Chuo cha ualimu singida kinatangaza kwenye radio Maria wanatoa...
Eti wana JF hivi selection za form five lazima wakuchagulie miongoni mwa shule ulizojaza au unaweza kuchaguliwa hata shule tofauti kabisa na chaguzi zako?
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka jana PCB nilipata point 11 nilipata CHEM-B.BIOS-B.PHYZ-D.BAM-B ninataka nifanye aplction kuomba MD katika hiki chuo naomba mwenye ufahamu anijuze vip...
Wale wote waliosoma mwakaleli sec tukuyu mbeya tujuane wakubwa .
Mimi ni wa mwaka 2005-2007 advance.
Naikumbuka mitaa/vijj vya kandete,mpombo,matamba nk.
Walimu MF ngui hm(r.i.p) ,cleopa,maison...
enyi wana jamv kuna kajambo fulan kananitatiza mwenzenu mpaka nakosa raha yaan hapa maskan kuna mdogo wang kasoma psychology na somo moja la kifundishia la kiswahili pale TEKU na je kwenye ajira...
Habari,
Naombeni kujuzwa kwa anayejua
kama kuna uwezekano wa kujiunga chuo bila kuwa na cheti cha form four, na kama ipo ni vyuo gani vinavyotoa huduma hiyo?, manake nimeskia tetesi kuwa Kuna...
Jaman magreat thinkers ninaombeni msaada wenu. Nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na kwa bahati mbaya nimepata 4 ya 32 na inanipasa kwenda chuo sio form 5. Je ni kozi gani itakayo kua na ajira...
Wapendwa wana jamvi,
Naomba msaada kwa yeyote anayeifahamu Bwawani sekondari, mazingira yake ya Bweni, upatikanaji wa maji, sheria za shule. Najua matokeo yake ni average, lakini mengine...
Waalimu wote wa nchi hii ya tanganyika hii inawahusu. CWT au chama cha waalimu Tanzania kwa muda sasa kimekuwa chama cha kinyonyaji kwa kisingizio cha kutetea haki za waalimu kitu ambacho sio...
Nafikiri hiki kitakuwa ni kitu kipwa kwa wengi ambao bado hawafika bodi hiyo kujua "LOAN STATUS" ya mikopo yao.Kuna kitu kinaitwa "PENALTY" na kingine kinaitwa "VALUE RETANTION FEE".
Kwa wale...
Jamani habar za saa hizi? ningependa kufahamishwa kuhusu fursa na uzuri wa hii course kwa sabab watu wengi wanasema ni nzuri na pia ningependa kujua ukimaliza masomo je una uwezo wa kujiajiri?
Wakuu vigezo ninavyo hivyo nataka niaply kozi ya clinical officer pale kibaha kinachomilikiwa na serikali. Clinical officer training center Kibaha Je VIP fees yake .Nawasilisha
Aje mkoa wa MOROGORO wilaya ya Ulanga/Mahenge. mimi nije mkoa wa KIGOMA katika wilaya ya Uvinza/kasulu/kigoma vijijini/buhigwe. Idara ya sekondari. kwa mawasiliano zaidi piga 0763855020/0784390095