Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau wa jamii naombene kwa anayefahamu gharama ya kusomea udreva kwa veta ni shingapi tena kwa geita kama ikiwezekana.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Closed
Zitatufanya tuwehukeee kabisaaaa. Daaaah wahusika kama mnapita humu basi tupeni hata taarifa tu kuwa zitachelewaaa au ni hivi karibuni. Sio kwamba hatuna cha kufanya but private mikataba...
1 Reactions
123 Replies
34K Views
Ama alivyofanikisha kuondoa teaching allowance na kufanya: 1. uwalimu uwe sekta ya wasiona uwezo 2. Maisha ya mwalimu kuwa duni sana 3.Kushuka uwezo na wanafunzi kushuka kiumahiri katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo nimepigiwa simu na mtu anaye soma pale SUA yeye anasoma bsc.ya forest...akaniuliza hivi chuoni kwenu mtu anaweza disco semister ya kwanza kama hata fikisha wastani wa chuo? Mimi nikamjibu...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari za kazi? Juzi nilikuwa nafanya maombi kwenye vyuo mbali mbali vya afya through nacte on line registration sasa nkakosea email, nashindwa kuendelea na chochote. Nawapigia hawapokei...
0 Reactions
1 Replies
726 Views
Habar zenu wanajukwaa...! Nimekuwa nikipata mkanganyiko kidogo kuhusu swala la ada inayolipwa na bodi ya mkopo kwenye vyuo vikuu Pale ambapo mwanafunzi anapata mkopo bodi humlipia mwanafunzi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafikiri Dunia ya hivi sasa ingepata viongozi wa imani ya Dini wenye mitazamo sawa na huyu Mexemed , Basi haya Matatizo ya vijana wetu ya kujitoa mhanga ili kukamilisha lengo fulani yangekwisha...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Heshima kwenu wanajamvi!!!...Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya uhasibu huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na kuwekwa kwenye cheti??..je huhesabiwa kwa miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Najua hupendi kusoma jumbe ndefu kama hii, ila tafadhari isome. Ulipochagulia kwenda chuo you had a lot of expectations, inawezekana ulitoka na idea zako za kuwa wa kwanza class km ulivyokuwa...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Ningependa kufahamu zaidi jinsi ya kujiunga na vyuo vinavyotoa elimu ya sanaa na utunzi wa vitabu ili nami niweze kujiunga.pia ninaomba mniorodheshee hivyo vyuo vinavyopatikana ndani hata nje ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jina langu naitwa Abdul, ni muhitimu wa kidato cha sita, nimepata nafasi ya kwenda kusoma nchini India ila tatizo wazazi wangu hawana uwezo wa kunisomesha, niko hapa nahitaji msaada ili niendelee...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
mi ni mwl wa sayansi phy na math.kitu kinachonishangaza serikali .mwl wa sc ana vipind 30 art 6.means ni mara 5.afu kwenye mshahara mnapata sawa..sasa najiuliza hiyo ni haki kwel na serikali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ADVANCED MICROSOFT EXCEL TRAINING FOR UNIVERSITY STUDENTS Do you aspire to become more Competitive in your After-University job interviews? The Global Business Consulting (GBC) is a solution to...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
zote hapa nchini kwa angalau saa tatu kila siku. Hii itakuwa ni njia bora zaidi ya kutuwezesha sisi Watanzania na watoto na vijana wetu walioko katika ngazi mbalimbali za elimu hapa nchini...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Natafuta shule ya advance kwa mchepuo wa HGE ambayo itakubali masharti ya kusoma wiki mbili na wiki mbili nyngne job kila mwezi kwa miaka miwil ada ni frsh haina usumbufu, shule iwe Dar na iwe ya...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
naomba msaada wa guide book ya nacte naona inanizingua kudownload
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waliosoma/wanaosoma Kwiro sekondari naomba msaada tuwasiliane 0683776379/0764268734
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda wana ndugu mnisaidie kujua maisha ya Ndugu H. Mwakwembe ya kielimu, lakini pia nifahamu vitabu alivyoandika kwa majina. Kama umebahatika kuvipitia naomba mtazamo wake kwa ujumla vililenga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa yeyote anayefahamu kuhusu vyuo vya kilimo na qualification entry zake kwa mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne tafadhari anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…