Ewe mwalimu tarajali jiandaee kukusanya vyeti vyako vyote, uwe na passport size za kutosha pesa ya kulala guest wakati unakamilisha maswala halimashauri,usisahau kubeba tochi kwani kwa mujibu wa...
Mdogo wangu ni mwalimu katika shule ya sekondari,ameomba kazi ya Tutorial Assitant katika chuo kikuu kimoja amepata.Wadau ushauri please aendelee na ualimu wake au akaanze hiyo kazi mpya?
Habari zenu ndugu, naomba kuuliza, kwa mwanafunzi anaesoma Barchelor of science in Insurance and Risk Management mwaka wa kwanza anaweza akapata nafasi ya kufanya Field ofisi za Bank? Tafafhari...
Mimi mwalimu nipo wilaya ya mufindi nafundisha mafinga mjini shule ya kinyanambo (idara sekondary) natafuta mwalimu wa kubadilishana naye anayefundisha mbeya jiji.nahitaji kuhamia mbeya mjini...
Habari ndugu zangu,
Naomba kuuliza,
Hivi hapa Tanzania hakuna watu/taasisi zinazojihusisha au zinazosaidia kutafutia watu udhamini wa kimasomo au Scholarship hasa kwa vyuo vya nje ya nchihasa...
kwa yoyote ambaye mwenye kuweza kutupatia taarifa juu lini ajira mpya za walimu wapya 2015/16 ,tunamuomba atusaidie ili tujuwe lini ajira hizi zitaweza kuwekwa hewani kutoka tamisemi kupitia...
jamani kuna watu wanatuma vitu ambavyo havielewek kwakwel cjui ni upeo
mdogo au kutojitambua wajue kuwa ajira kwa sasa hazitolewi na wizara ya
elimu badala yake zinatolewa na ofisi ya waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.