Heshima kwenu wanajamvi!!!...Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya uhasibu huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na kuwekwa kwenye cheti??..je huhesabiwa kwa miaka...
Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha sita mwaka Jana, na alisoma mchepuo wa PCB na matokeo yake yalikuwa ni (Phys C) , (Chm B), (Biol B), (Bam B) .
Pamoja na matokeo hayo aliomba koz za...
Hello,We are designing E-learning System The e-learning platform is a software solution to long-distance learning management and provision.
Versatility and simplicity make this LMS (Learning...
Jamani naomba kuuliza, hivi Mwl aliyejiendeleza na kusoma Master of Education Management and Planning anaweza kupangiwa kazi gan ktk halmashauri anayofanyia kazi? Au anaendelea kufundisha...
Habari za leo waungwana, naomba kuuliza kwa yeyote anaye fahamu, private candidates wanapelekwa JKT bila kuomba au inawalazimu waombe? Kama wanaomba ni zipi procedures za kuomba ili na wao waende...
Hayawi hayawi sasa yamekua serikali imetegua kitendawili na kusema kuwa wataajiri walimu na wataalamu wa maabara mwezi huu wa nne baada ya ofisi ya raisi kutoa kibali cha ajira
Chanzo...
Habar zenu wadau
Mimi ni mwanafunzi nasoma Zanzibar University, mwaka wa pili 1st degree katika combination ya biology chemistry (EDUCATION) na hiki kipindi tulichonacho tumekabiliwa na ufanyaji...
Muzdalifa Foundation tunatengeneza system maalum kwa ajili ya matumizi ya vyuoni au college .System inakuwa na uwezo wa kufanya yafuatayo:-
Interaction (Virtua l Classroom)
Forum
Internal...
Jana jioni tume ya uchaguzi SEKOMU-SO kupitia mwenyekiti wake Bwana Samara, ilitoa majina ya kuwania urais kwa msimu wa mwaka 2015/2016 kama ifuatavyo: Jacob kitunga Dickson Mkingi na...
Kuna ndugu yangu alihitimu elimu ya sekondari mwaka 2008 na akapata division 4 ya point 26 ambapo alibahatika kupata credit 4,akafanya mtihani wa form six mwaka 2012 kwa bahati mbaya akapata...
Naomba msaada wenu wadau naweza kuzipata wap cd za video za tamthiliya za kiingereza na kiswahil kwa o-level ? kwa list hii hapa:
za kiingereza:
1. This Time Tomorrow
2. The Black Hermit.
3...
The CISA designation is a globally recognized certification for IS audit control, assurance and security professionals. Being CISA - certified showcases your audit experience, skills and...
Habari za muda huu.
Naomba mnisaidie na uwasaidie na wengine pia juu ya sehemu nzuri zaidi ya kufanya industrial practical training kwa kozi ya mechanical eng. Nitafurahi zaidi nikipata wale wote...
Ramani ya ulimwengu ya radio ebony fm.
Kama upo iringa, mbeya, njombe, songea, rukwa, katavi, dodoma, morogoro au dar es salaam hata popote pale ulimwenguni, na mtu unayependa kujua vitu kama...
Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu ni kwa namna gani tunaweza kuzisaidia shule zetu za msingi na sekondari nchini kuwa na fedha za kutosha katika uendeshaji wao ili kuweza kutoa elimu bora na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.