Hii shule kongwe imefungwa jana kwa sababu tajwa hapo juu. mbaya zaidi ina form 6 watakaofanya mitihani may. kwa anayejua zaidi karibu.
Source: mwalimu anayefundisha hapo.
Hali ni mbaya kwa kweli
Am asking for anyone who can help me with the best WEBSITE to search and download Books, journals, presented paper and articles related to Building Construction.
Thanks in advance..
Wakuu, naomba kwa alie na uelewa na hiki chuo nataka kufahamu ubora wake kiufundishaji na hadhi ya degree inayotolewa apo, nmetembelea website yao sikutosheka na taarifa nlizozipata. Naomba kwa...
Poleni wanajukwaa kwa kazi nzito.
Mimi nimesomea Bachelor of education in Arts ( udom) na sasa nahitaji kwenda kujiendeleza kwa kupata shahada ya pili. Wakati nasomea first degree niliwah...
Je ni kweli kuwa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Missungwi kinatoa course za mambo ya uhandisi wa ujenzi?
Kama ni kweli tupia maoni yako jinsi unavyokifahamu itakuwa msaada sana kwangu.
Habari wanaJF, naomba kama kuna mtu anajua chochote mchakato wa kujiunga na masomo ya certificate ya University of Dar es salaam School of journalism anielekeze. Ada ni shs ngapi? na masomo...
Wadau
Mtoto amemaliza form four mwaka jana na kupata ufaulu huu.Je ni kozi gani anaweza kufanya kwa sababu hataki kwenda form 5, anataka aanze chuo na ngazi ya astashahada
Civics C
History ...
Wasalaam,
Naomba msaada wa kufahamishwa shule nzuri za wasichana zenye mchepuo wa PCB. Nina mdogo wangu amefaulu vizuri matokeo ya form 4 lakini hajafanikiwa kupita kwene matriculations za shule...
Naomba kueleweshwa kwa anaefaham eti ukisoma cbg uwezi kujiunga na pharmacy? pia ni fakat gani m2 anaesoma cbg na kufaulu vizur anaweza zisoma chuo kikuu?
Kwa anae faham tafazal naomba kusaidiwa
Uki re seat mtihani.ukafaulu unaweza kutengenezewa cheti kimoja badala ya viwili cha kwanza na cha reseating au haiwezekani.
Natanguliza shukrani kwa mwenye ufahamu
habari wakuu, nauluza wallio apeal bodi ya mikopo 2014/15 majina yanatoka lini au yako wapi ili tujue tunawalipia ada vijana wetukwa ajili ya semester y pili au tuwasubiri wao, wengine walisema...
Habari wakuu, naomba kufahamu nilini hasa registration zitaanza kwenye vyuo vya Afya hasa vile vinavyotoa fani ya ufamasia. Pia napenda kujua muhula mpya unaanza mwezi gani? Ahsanteni.
Wanafwatilia zaidi vipindi ambavyo walimu hawataingia kuliko vipindi ambavyo wadhahili wataingia.
Wakiingia darasani mdhahili asipokuwepo macho yote kwenye saa yaani inapofika nusu saa tu wa...