Wakuu naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie, ni vyuo gani ambavyo mtu anaweza kusoma masters in accounting and finance south africa lakini pia hata kwa professional accountant.
Kama unafahamu...
wanafunzi wa shahada ya Uzamili - Kiswahili wa Chuo Kikuu cha Dar wapo mbioni kufungua kesi ya kikatiba katika mahakama kuu dhidi ya Serikali ya Tanzania kwa kuzuia uhuru wa kutoa maoni/kujieleza...
Ndg wanajamvi naomben mnielekeze jins ya kutuma maombi ya teaching z coz zaman walikuwa winaomba kwa katibu mkuu wa wizara ya elimu na sijajua kwa sasa unatuma wap jaman Mnisaidie mwenzen
Msaada,
Kwa hapa Dar es Salaam, ni vyuo gani ama Training center vinatoa Advanced diploma ama Bachelor ya Network Engineering, tofauti na St Joseph na Unique academy?
Na ada yake isizidi 2.5 Million
Wanafunzi wa Shule ya msingi Ihanga wilayani Mufindi, mkoa wa Iringa wakiwa wamebeka kuni kupelekea kwa mteja aliyenunua kuni hizo kutoka katika Shule yao kama walivyokutwa na mwandishi wetu...
Shule 10 za mwisho ni;
Manolo mkoa wa Tanga
Chokocho mkoa wa Pemba
Kwalugulu mkoa wa Tanga
Relini mkoa wa Dar es salaam
Mashindei mkoa wa Tanga
Njelekela Islamic Seminary mkoa wa Kigoma
Vudee mkoa...
Nimefuatilia kwa makini sana zoezi la ujazaji wa fomu za kugombea uwakilishi nafasi tofauti katika Wilaya ya Mbogwe nilichogundua uchaguzi huo utakuwa ni mgumu sana na utatawaliwa na kuchafuana...
Je umepata G.P.A ya 4.4 matokeo ya form four ,ndugu ,rafiki ama jamaa yako ..basi international school of moshi wametoa scholaship unasoma bure
Temblele Link hii kwa maelezo zaidi ...
Kwa ufupi ni kwamba aliyekuwa rais wa serikali ya wanafunz bwana Ramadhan Kirungi anashikiliwa na Polisi Kituo cha Selander Bridge baada ya kudokoa kiasi cha shilingi 31 Milioni kwa kufoji saini...
Habari zenu wakuu,
Naomba kuuliza je,mtu aliefeli kidato cha nne anaweza kusomea kozi za utalii?na kozi zipi na kwa muda gani?na kwa hapa Dar vyuo hivyo viko wapi?
Asanteni
Mtanzania aliemaliza shahada ya kwanza Tanzania anaweza kupata Nyerere Master's Scholarship katika Chuo alichosoma cha University of Edinburgh.
Kwa maelezo zaidi, ingia kwenye mtandao wao au...
Kuna binti ambaye alimaliza kidato cha nne mwaka 2013, bahati mbaya hakuweza kuchaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano kwa shule za serikali. Uwezo wa kumpeleka shule binasfi haukukwepo...
Aliyekuwa mkuu wa chuo ya Ualimu Morogoro zamani kikijulikana kama Kigurunyembe, Mayombo Ngonyani amefariki dunia ghafla jana usiku.
Msiba upo nyumbani kwake Bigwa, Morogoro.
Kupata Matokeo Haya,
Bofya hapa
Jiridhishe kwa kutembelea NECTA
Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda...
Kwa wenye kufahamu shule za mkoa wa kilimanjaro za binafsi(private),ambazo ni nzuri na mchangayiko(boys&girls) au wasichana pekee anijulishe,na mawasiliano ya shule hizo. Nina binti nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.