Heri ya krismasi wanajukwaa wenzangu!
Mimi ni mwananfunzi wa sekondari na niko mwaka wangu wa mwisho wa A-levels(ninasoma an international equivalent of the Tzian A-levels; IB).
Nimekuwa...
Ninasoma kombi ya CBG ...
Naomba kufahamu endapo nitafaulu vizuri naweza kusomea pharmacy. medical laboratory science or biochemical engeneering katika vyuo kama bugando , kcmc na muhimbili ?
Nakaribisha kwa hiari walimu wenye uwezo , nia, malengo ya uelewa wa kufikiri kuwa wadau wa shirika la elimu ya awali na malezi ya watoto OMEP (Home | Oregon Manufacturing Extension Partnership)...
Habari zenu
Naomba msaada kama hili jambo linawezekana nlipatiwa mkopo na nakautumia mwaka wa kwanza na baada ya hapo nmebadilisha kozi na sahiv nipo tena mwaka wa kwanza nataka niombe mkopo...
It is incredible, hope you will be inspired. According to wikiepedia he has 61 honorary doctorates. Read more for yourself
- 1 -
CURRICULUM VITAE
BENJAMIN SOLOMON CARSON, SR.
Current Appointments...
Katika vyuo binafsi maswali yangu ni
Je nikisoma kuanzia ngazi chet hadi diploma na kuendelea, ajira zake hazisumbui?
Je unaweza ukajiajiri mwenyewe kama hautaki kuajiriwa?
Field na ugumu wake?
Nina mdogo wangu(msichana) amemaliza form 2012 katika masomo yake alipata D isipokuwa Maths alipata F na hivyo kushindwa kuendelea na kidato cha tano. Nimekusanya vijisenti nataka kumpeleka chuo...
kwanza nawasalimu wote!
kichwa cha habari cha husika!
Ningeomba msaada wenu kuhusu taratibu zakupata hizo nafasi kusoma katika nchi tajwa,mahitaji ya applications pia ningependa kujua...
Kama unasubiri kuajiriwa sekta ya ualimu jiandae kwa mambo haya;-
1.kupata pesa ya kujikimu pindi unapolipoti kituoni(wilayani)
2.Kupangwa mazingira ya vijijini sana ambayo hata usafiri na...
Jamani nina Mwanangu, nataka kumpeleka Cannosa High School. Please naomba anayeifahamu hii Shule
anipe taarifa zake Kuhusu A-level .
Je wanatoa masomo ya Science A-level? , mwanangu anataka...
Ndugu WanaJamiiForums,
Nnaombeni msaada kwa anae jua sifa za kujiunga na form five na six kwa matokeo ya mwaka huu ya BRN big result now maana yananichanganya.
Wadau kwa anae jua naomba ufafanuzi.
OFFICE OF THE DEPUTY RECTOR ACADEMICS, RESEARCH AND CONSULTANCY
ADMISSIONS FOR UNDERGRADUATE AND POSTGRADUATE COURSES FOR ACADEMIC YEAR
2012/2013.
The Institute of Finance Management (IFM) is...
kwa anajua shule nzuri ya udereva kwa dodoma atujuze maana kuna vijana wawili wanatakakujiunga ila hawajui ipi shule bora kwa dodoma? maeneo gani na gharama zao? pia mawasiliano kama yapo muhimu
habari zenu..
naomba msaada kwa mtu anaejua mahali au website ambayo naweza pata scholarship bachelor in international relations...
naitaji msaada wenu...ASANTENI
Wadau nitajiunga na Diploma ya uendeshaji wa Biashara pale CBE.
VVipi hesabu zake maana nina credit.7o.level lakini sina background nzuri ya maths. Vipi marketing?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.