Kweli teknolojia imekua yaani hawa jamaa wanaendesha mitihani ya kujiandaa ya wanafunzi wa sekondari na shule za msingi kwa njia ya simu.
Leo hii mwalimu wangu aliyenifundisha miaka ya 70 kule...
Salamu kwenu wapendwa!
Kulingana na kichwa cha uzi huu, tafadhali shauri na ikiwezekana toa na sababu.
Ni programe gani ambayo inaweza kumpatia mwanafunzi mambo muhimu yanayohusiana na...
Mimi nimesoma shule za kata.Hata chuo (IFM) ni kama cha kata!Lakini shuruba katika ufaulu wangu nazijua mwenyewe.
Hapa nataka kusema tuliosoma kule sio kwamba hatuko vizuri kichwani, NO tuko...
Habari zenu ndugu zzangu naomba msaada wa silabasi mpya inayotumika sasa ya somo tajwa hapo juu kwa mwenye nayo soft copy
Nimejaribu kutafuta mwenyewe nimeshindwa
Msaada tafadhali
Jamani jamani,
Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana af eti hana uhakika na namba yake, yani namba yake ya mtihani ameisahau.
Msaada jamani kama kuna uwezekano wa kuyaona matokeo...
WANA JAMVI,
JAMBO LA KUSHANGAZA KWA TOVUTI YA WIZARA ZAIDI YA WIKI MBILI SASA NIMEKUWA NIKITAFUTA BAADHI YA TAARIFA ZA MAFUNZO KWA MWAKA HUU.HAIPO HEWANI UKIFUNGUA UNAKUTANA NA UJUMBE KUWA IKO...
Habari zenu wana jukwaa,
Natambua kuwa mwaka 2000 Tanzania tulijitoa COMESA, lakini pia najua ya kuwa pamoja na kujitoa huko hakumaanishi hakuna kinachonunuliwa au kuuzwa kutoka au kwenda nchi za...
Nina degree ya Bsc with Education (chem & bios) sasa nataka kusoma masters yoyote ya afya ili nihamie wizara ya afya.Naombeni msaada kozi gani nikasome na chuo gani kwa bongo kwanza hapa
Naamini mu wazima mwenye taarif zozote kuhusu chuo cha DIT hasa vigezo vya kujiunga na kozi za IT maana nimesoma Arts ila napenda kusoma IT hapo DIT, nna pass 1.3 Alama zangu ni F ya mathe, B ya...
Soma faida za kulala mchana
Je, Unajisikia mchovu, dhaifu na unashindwa kusoma au kufanya kazi mchana? Unatumia soda, kahawa au vinywaji vya kuongeza nguvu kukusaidia kumaliza siku yako kazina...
Habari wana forum wenzangu kuna ndugu yangu ametuma maombi ya kazi sehemu na ametakiwa kutuma CPSJT test. hajui wapi anaweza kupata huduma hii na kwa ufupi tu umuhimu wa CPSJT ivo msaada una...
Habari zenu wana JF naomba kuuliza kwa wanaosoma diploma ya ualimu katika vyuo vya serikali kuna mkopo? sababu nilishindwa kuendelea na masomo ya chuo kikuu kwasababu ya kukosa mkopo sasa nataka...
Wakuu mimi nilikua na swali moja, UDSM sasa hivi wanatoa Bsc in civil eng badala ya structure, water na transport. Swali langu ni ukisoma mwishoni ndio utachagua moja au mtu ukisomea civil unaweza...
Habari ndugu zangu,
Mi nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009. Nilikuwa nachukua masomo ya biashara. Matokeo yangu hayakuwa mazuri nilipata division 4.27 nilishindwa kuendelea na chuo kwaajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.