Habarini ndugu zangu.
Naomba anaejua center bora ya Ku reseat mitihani kidato cha nne anijuze.
Mimi naishi Chanika hivyo naomba mnijulishe centre bora zilizopo kuanzia Pugu, Gongo la Mboto...
Mimi nilisoma qt kisha nikajiunga pc nikafaulu kwa marks zifuatazo.(2014)
eng-B
lite-C
Geo-C
kisw-C
Bios-D
civ-D
hist-D
Math-F
nataka kusoma advance ya mwaka mmoja 5&6 HGL kuna madhara yoyote...
Habari wana JF.
Mimi nasoma bachelor of accounting and finance in busines sector, Mzumbe university ,mwezi wa 10 hadi wa 2 mwakani tunatakiwa tuende field.
Naomba ushauri wazoefu sehemu...
Ndugu zangu mimi nimemalza o'level 2014 nmepata credit 2.0 ya bios-C Chem-C physics-D geo-C sasa watu wangu wengine wanasema niende chuo wengine kidato cha 5, hebu naomba mnshauri hapa na kama...
Wanajamvi,
Kwa yeyote mwenye kopi laini (soft copy) ya kitabu cha historia ya Tanzania, hasa vile vilivyoandikwa na Taasisi ya Elimu Tanzania, naomba anitumie au kuiweka hapa jamvini kama...
Je, wewe ni miongoni mwa wanafunzi waliomba uhamisho kutoka chuo ulichopangiwa kwenda kingine na wakati huo tayari una allocation ya mkopo katika hicho chuo ulichopangiwa awali?
If yes, itabidi...
Hivi haya matatizo yanatokea wapi? Kukosa juhudi binafsi za mwanafunzi au ni systemic?! Kwa sababu kwenye maofisi mengi ni kama kinachosemwa kwenye huu utafiti ni kweli. Je, yaliyosemwa kwenye...
baada ya ushindani mkali kutoka kwa Shule za kata katika kupata wanafunzi wakutosha kuweza kuendesha shule, wenye shule binafsi wanza kuuzashule zao
Bakili Muluzi Secondary School
TENDER FOR SALE...
Habari zenu ndugu?
Naomba mwenye kujua vyuo vilivyotangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2015/2016,kwa kozi za biashara ningependa viwe vya Dar es salaam
Ahsanteni
Wadau mwenye ujuzi naomba tofauti iliyopo kati ya hizo course yaani Master of arts in Economics na Master of Art in Applied Economics. Pia which one is marketable?
Natumaini muko wazima wanajamvi mimi ni mmojawapo ya wanaosubiri kufanya usajili mwaka huu kupitia NACTE iliniombe diploma ya clinical medicine naomba kufahamu haya:
1.kuhusu CAS-Yani central...
Me mwenzenu roho inaniuma kila nisikiapo kati ya watoto kumi wa darasa la kwanza hadi la saba wawili hawajui kusoma wala kuandika. sisi mbona tunajua vyote kwa nini tusiwafundishe.
Jamani walimu...
WanaJF naombeni mnijulishe kama mtu anaweza kusomea cheti hadi degree baada ya kumaliza kidato cha nne, na ni kwa kozi zipi hasa.
Ikiwezekana mnipe mifano hai?
Wakuu hii ni rasmi tunaanza kulipa ada hii kwa TCU kiasi cha Tsh. 20,000/= kwa mwaka,
Tayari chuo cha MUST imetangazwa rasmi na chuo kikifunguliwa kila mwanafunzi wa Bachelor anatakiwa alipe...
Habari!
Napenda kuwakaribisha kwenye mkutano wa kwanza utakao wakutanisha wana bunda wanaosoma kwenye vyuo mbalimbali Mwanza. Ni siku ya jumapili trh 1/3/ 2015 , ukumbi wa M 7 SAUT Malimbe...
Habari wana forum,
Hivi inawezekana mtu ukawa unasomea degree ya kitu flani under TCU at the same time unasoma diploma katika taaluma nyingine under NACTE,
Mfano unasoma degree ya electrical...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.