Nina mdogo wangu amepata PASS YA 0.9 ana phy F,
Chem E, Bios C. Anaweza kupata nafas vyuo vya afya vya serekalini na kwani registration imeshafunguliwa au maana najaribu kufuatilia sioni kitu
Wadau naombeni msaada wenu. Kuna dogo hapa ana credit 2 sasa kila mtu anamshauri teaching. Nikaona si vibaya nikaomba ushauri humu jamvini. NATANGULIZA SHUKRAN
wakuu ningependa kujua vigezo vinavyo tumika kupata masomo yakufundishia kwa aliye soma post graduate diploma in education hasa kwa wale waliosoma shahada isikuwa ya uwalimu
Walimu wa shuleya Sekondari Chalinze wamepigana hadharani huku wakishangiliwa na wanafunzi, tukio hili limetokea jana tarehe 4 mwezi huu 2015.
Sio picha nzuri kwa jamii inayowazunguka walimu hao...
MUFURUKI: In a globalised world, looking inward isthe wrong way to turnIwish to contribute my two cents to the debate that has been triggered by therecent decision of our Government to make far...
Karibu wiki nzima hii, nimekuwa namsindikiza mtoto wangu Shule ya Libermann iliyoko Mbezi Beach. Nitaandika kwa kifupi maana nawahi Mkutano. Nimeshuhudia watoto wanaodaiwa ada kuzuiwa nje ya gate...
kwa wale waliopitia elimu ya ufundi hasa katika taasisi ya technolojia ya dar es salaam(DIT) mtakua mnamkumbuka mwalimu huyu wa electronics mr Mtangoo ambaye kwa sasa hatunaye tena duniani.
RIP...
Kuna habari kuwa vyuo mbalimbali vimeshatoa majina ya waliokata rufaa kwa bodi ya mikopo kwa mwaka 2014/15 vikiwemo chuo cha UDSM na RUCO.Mwenye taarifa ya chuo au vyuo vingine ambavyo vimeshatoa...
Wadau heshima kwenu,
Naomba msaada kwa mtu anayejua shule nzuri ya Private kwa wasichana ya "A" level. Napenda iliyoko Moshi au Mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla. Kama kuna mwenye mawasiliano na...
Je wewe umemaliza kidato cha nne au cha sita? au Je mzazi una mtoto aliyemaliza kidato cha nne au cha sita?
Je Unahitaji na Kujiunga na mitaala ya elimu ya Uingereza na kuhitimu na cheti cha...
Nataka kujua jamani kama wale waliosupua wanaweza ajiriwa bila kutuma barua TAMISEMI maana kunafununu wanasema bila kutuma maombi hawawezi ajiriwa kama miaka mingine mwenye ukweli kuhusu hili...
Salam kwenu wakubwa!
Mimi kwa sasa nipo form six hapa Moshi Technical natarajia kumaliza mwezi wa tano mwishoni mwaka huu, But kuna hili suala la kwenda JKT kwa kweli sipo tayari coz nina mambo...
habarini za humu ndani,,mimi ni mwanafunzi wa chuo nataka kujiunga na postpaid ya tigo je nini kinachotakiwa kwa huduma hii jamani wenye uzoef naomben mnisaidie,,
Jana nimekuwa kwenye usaili (interview) na Kijana mmoja mwenye uzoefu mkubwa wa kazi na mwenye kujiamini akashindwa kupata kazi kwa sababu hajui kiingereza vizuri. Kazi ilikuwa inahitaji mtu...
Mwalimu violeth wa rombo kilimanjaro..anataka mtu wa kubadirishana naye kituo cha kazi kutoka mbeya..tukuyu..kyela..mbeya vijijini..mbozi..namba yake..0756298681
Microsoft Advanced Excel Training and Certifications for Professionals
Knowledge is Power and Certification Proves Skills & Expertise
1) Do you want to pursue a career in Excel related work...
From Certificate To Masters........!!!!
Member of Parliament CV From Certificate To Masters
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Vick
Middle Name:
Paschal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.