Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa matokeo haya ya kidato cha sita nitaweza kusomea faculty gani chuo kikuu?? Bios-D Chemistry-E Phys-F Bam-S Natanguliza shukrani..
0 Reactions
1 Replies
705 Views
Naomba kuuliza ni taasisi au kampuni au mtu binafsi anaweza kutoa msaada kwa mtu aliepata admission ya kwenda kusoma diploma ya land suryey(GEOMATICS). Kwa mkatabata ili badae aje afanye kazi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habar za wikend wakuu....naomba kujua hatua/procedures znazomfanya mtumish ajiunge na chama cha wafanyakaz particulary in public organization..coz sheria inatoa uhuru wa kujiunga s.9 of ELRA lakn...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi hebu nipeni ushauri combination zangu hazija balance vizur sasa naombeni ushauri wenu niende chuo ama ni resett hayo masomo yanayo simamisha combination
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani nataka kujua kuwa unaweza kutuma maombi wizara ya afya kama unaBiology-DKwa masomo mengine C flat kwa cheti cha form4,kwa miaka ya 2012-2008 kwa maana kulikuwa hakuna izo alama za gpa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu eti kuna mafanikiyo kwa mtu aliye maliza form 4 miaka 3 iliyopita kurudia mtihani kwa kuingia form 4 mwaka huu na kufanya mtihani or anatakiwa arudi form 3 tena. Naombeni mawazo yenu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa yeyote mwenye research za procurement and supply level ya bachelor degree anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunafundisha masomo ya CPA module E na F hasa kwa wale walio busy makazini hivyo kukosa muda wa kuhudhuria review classes kila siku. tuwasiliane tupange mda wa kukutana na kukufundisha. pia kwa...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu kabla ya mfumo huu wa TCU wanafunzi waliohitaji kujiunga na vyuo mbalimbali walichukua form za chuo husika na kutuma maombi ya kozi ambazo walihitaji kusomea na hii iliongeza chance ya mtu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wadau humu,mtu mwenye hiyo masters of education in curriculum development and instruction kwa bongo ni wapi anaweza fanya kazi au kuajiriwa sekta gani。natanguliza kushukuru kwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
HAbari wana jf Naomba kujuzwa juu hl jambo,nimetokea kuipenda fani ya uuguzi(nursing)na kutamni kuisomea fani hyo lakin tatzo langu ni kwamba sijajua kama ntaweza kupokelewa katika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamvi hebu naombeni mnipe ushauri, coz nahisi unahitajika, Rafiki yangu wa kike kamaliza form six moja ya shule za serikali. Alikuwa anasoma combination ya PCB, ki maandalizi ya mtihani...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Jamani naomba mnisaidie, Mdogo wangu kamaliza form four mwaka Jana, anahitaji result slip ili aitumie kutafuta vyuo, shuleni kwao(yupo kijijini) hazijatoka bado. Je naweza kuipata wapi?
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Nashauri wawe wanatembelea kwenye taasisi za Serikali kama vyuo vya ualimu waangalie hali halisi ya mafunzo badala ya kuandika habari za kisiasa tu. Walimu wa daraja 3A kwa mwaka wa kwanza...
0 Reactions
4 Replies
979 Views
Habari zenu wadau, Kwa kipindi hiki cha mvua za dar nimepotelewa na academic certificate ya kidato cha nne japo sijajua katika mazingira gani ila ni katika hekaheka za kuweka mambo sawa.... Sasa...
0 Reactions
16 Replies
11K Views
Hatimae Sasa ufisadi wahamia vyuoni. Baada ya ya zaidi ya millioni tatu(3 mil)kugundulika kuibiwa na nyingine kutumika vibaya katika account ya serikali ya wanafunzi chuo kikuu (Ardhi University )...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji kwenda kusoma hii course, vipi kuhusu soko lake la ajira na fursa zake?.. nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Wanatoa halmashauri au unafungua mwenyewe?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mpango mpya wa elimu, uliotangazwa hivi karibuni, kiukweli hawajafikiria vizuri tatizo hasa la elimu, tatizo la elimu sio kuongeza miaka ya kuhitimu shule ya msingi, kutoka miaka saba mpaka kumi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu eti kuna mafanikiyo kwa mtu aliye maliza form 4 miaka 3 iliyopita kurudia mtihani kwa kuingia form 4 mwaka huu na kufanya mtihani or anatakiwa arudi form 3 tena Naombeni mawazo yenu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom