Wakuu habari za weekend.?
Kijana mwenzenu hapa najaribu kuwaza the impossibles kuwa possible.
Kwa hali ya sasa inavyokwenda na mtikisiko wa anguko la ajira ualimu, bado nataka kuingia katika...
Habari wana jamvi.
kuna kipindi najiuliza maswali kama kweli walimu tuna akili ya kutosha.
Hivi inaingia akilini tangu mwaka jana mwezi wa 6, watu wamepanda daraja lakini mpaka sasa...
habari zenu wakuu.kwa yeyote ambaye anajua kituo au mtu yeyote anayefundisha course ya accounting packages kwa arusha mjini naomba tuwasiliane. 0655963543. natanguliza shukrani kwenu
1.Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Sokoine, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kutoka Vyuo vingine vinavyofanana na hivyo, hawana sifa za kitaaluma za kuwawezesha kufanya kazi katika Maabara za Afya...
udsm wanatoa b.sc in civil eng not b.sc in civil and stuctural or transport or water resourses kama zamani.
je ina maanisha sasa hivi mtu anasomea structure, transportna water pamoja au anakuja...
Habari nina mdogo wangu amefanya vizuri matokeo yake ya form iv yaliyotoka mwaka huu nilipenda akasome pcb ili aje asome udaktari, naombeni kujua shule zipi za private ni nzuri kwa mchepuo huo ili...
Kama umezoea wizi basi utaendelea kuiba tu.Wiki mbili zilizopita wanafunzi wa chuo kikuu Iringa walianza kufanya UE au University Examinations.
Cha ajabu wale tunaotegemea wakawafundishe wadogo...
Hali ni tete katika chuo cha ufundi veta Dsm, kunauwezekano wa wanafunzi kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na maji machafu ya chooni kutiririka ovyo kwenye mazingira ya chuo
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano mwenye uwezo wa wastani, HGL ndio mchepuo ninaojishughulisha nao. Kwa upande wa geography huwa nina score 60-90 na english 60-85. Historia kwa mazoea huwa...
Katika ziara yangu niliyoifanya mwaka jana wilayani mbinga niliandika thread juu ya madudu aliyoyafanya afisa elimu msingi wilaya ya Mbinga bwana David Mathias Mkali kuiba fedha za halmashauri...
Jaman samahanini naomba nieleweshe hiv kuwa hivi kidato cha nne anaweza kwenda kusomea clinical officers katika vyuo vya serikali na application zao zimekaa vipi
jee unaaplaia chuoni au una...
(Nauliza kwa niaba) Nahitaji kusoma chuo cha sanaa Bagamoyo lakini ukweli ni kwamba sina hela kumudu fees...
Naomba niulize kwa anayejua,hivi hamna MKOPO kama ilivyo univarsities?
Au kama kuna...
Habari wakuu,
Nimehitimu diploma ya water laboratory technology, lakini na mpango wa kusoma degree ya medical laboratory science, nifanye nini wana JF au nisomee nini tena ili niruhusiwe chukua...
Habari wana JF naomba kufahamu kuhusu mikopo au ruzuku kwa wanafunzi wa diploma ya ualimu vyuo vya serikali mgawanyo wake unakua vipi.
Na kama ni boom linakua kiasi gani kwa siku nia yangu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.