Wasalaam wandugu.
Kumekuwa na mjadala siku nyingi kuhusu lugha gani hasa Hapa Tanzania itumike kujifunzia mashuleni hadi vyuoni, hapo kuna aina mbili za mawazo.
Walewanao sema kiswahili kitumike...
Habari wadau,
Nimeshangazwa sana na tangazo la kukinadi CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU JOSEPH linalorushwa na kituo cha televishen cha Startv,,
Tangazo halina kichwa wala miguu,, maudhui yake...
Habari za leo ndugu ,mimi naombeni msaada mwenye lecture notes za OHI 125 themes of africa pre history kutoka Open univetsity of tanzania au hata kama una course outline yake. please nisaidie.
Habari wana JF, Samahani kwa kuwasumbua, nina uhitaji sana wa tovuti za vyuo mbalimbali kama Chuo cha sanaa Bagamoyo na Tumaini University Iringa,
Ila sijui namna ya kuzipata, kwa mwenye uelewa...
Nipo katikati mwa chuo kikuu SEKOMU taarifa kutoka kwa chanzo cha kuaminika toka chuo hiki ni kuwa wafuatao wamehusika mojakwa moja ktk mtihani uliokuwa umeibiwa kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu...
Mimi ni mdau wa elimu ambaye naguswa sana na usimamizi mbovu wa mitihani ya mwisho ya elimu ya sekondari. Shule nyingi za private zipo kiabiashara zaidi, hazipo tiyari kuona wazazi wanalipa ada...
Habari zenu wakuu!
Nina swali dogo tu nataka kujua. Hivi kweli ni sahihi na inaruhusiwa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuingia kwenye mitihani yao ya UE bila kujua course works zao?
Inaruhusiwa...
Nimesikitika sana nilipokuwa katika kupitia matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka huu hasa pale nilipoangalia orodha ya Shule 100 bora na kubaini kuwa ni shule 6 tu za Serikali ndizo ziko kwenye...
Ninaandika proposal ya research flan (Community/medicine), kila article ninayo-google inakuja vizuri, lakini napata abstract tu, nikitaka kupata full research/reference naambiwa log in au ninunue...
vyo vya kilimo na ufugaji,
vyuo vya uvuvi
vyuo vya afya
vyuo vya ualimu sayansi
na vingine ilimradi vya serikali msaada tafadhali nafasi lini zinatangazwa na vigezo na vip wenye pass ila wana...
Wakati watu wanaendelea kuzungumzia uozo wa matokeo ya form4, huku zenj kuna majanga ya shule1 kwa wanafunzi wa adv wanaotarajiwa kufanya mthn may mwaka huu.
Wanafunz hao waliokua waksoma komb...