Tutakua busy kujadili ugaidi, ila matokeo ya kidato cha nne ni uozo mtupu. People are too clever, hapa wanaua ndege wawili kwa jiwe moja. Matokeo yametolewa kwa mfumo wa GPA ambazo watahiniwa /...
Za asubuhi wanajamvi,
Nianze kwa kusema mimi ni daktari nimemaliza degree yangu ya udaktari mwaka 2008 pale Muhimbili na sasa nachukua masters ya pediatrics (Magonjwa ya watoto) Mandela...
Habari za humu...
Wahenga walisema tabia ni kama ngozi ya mwilini kuibadili ni kazi sanaa...
Nilipo anza kidato cha kwanza nilishindwa kuelewa ni kwanini haya yanatokea lakini niliamini ipo siku...
Umofia kwenu wana JF,
Watoto wa Mcharo Angel na Jennifer waongoza matokeo ya kidato cha nne kwa kupata Div I za point 7(GPA 5.0) kila mmoja.
Hongera Sana Mcharo.
Nina mdogo wangu ana pass ya 0.6 yaani ana C1,D1 na E4 sawa anangapi kwa mfumo Wa zamani achana na wasasa yaani ana division ngapi ya point ngapi, msaada
Binafsi sijaridhishwa na ufaulu wa wanafunzi katika masomo ya book keeping na commerce-form four mwaka huu. Siwezi kukubali kushuhudia professional ya uhasibu ikiendelea kudidimia at an early...
Ukifanya uchunguzi wako kwa makini utagundua vijana wengi waliosoma Uganda ama shule za msingi, sekondari na vyuo (ikiwemo vyuo vikuu) huingia kwenye tabia mbovu ya ushoga tena bila kificho,
Mtu...
Wanajamii
Sidhani kama ni kweli kiwango cha ufaulu kimeongezeka tena kwa kiwango kikubwa hivyo, mfumo uliopo sasa wa GPA ni tofauti na uliokuwepo wa divisions hivyo kiwango cha ufaulu hakiwezi...
Nasikitika sana kuona vijana mnatumia mitandao (kama huu wa JF) kuonyesha umwamba wa chuo kipi bora na kipi sio bora, au taaluma gani bora na ipi sio bora. Hii ina sikitisha sana.
Kwa kifupi...
Baada ya viashiria vya kutosha kuwa mitihani yote ambayo ilikuwa imeishafanyika na ambayo ilikuwa haijafanyika kuwa nje kama soft copy naibu makamu wa chuo hicho DVC ARC ameamua kuifuta hiyo...
Mwanzo » Habari
Madawa ya kulevya yazidi kuwaharibu wanafunzi Dar
Na Moshi Lusonzo
14th February 2015
B-pepe
Wengi wamegeuka ni 'mateja', Wanashiriki kucheza kamari , Wanao...
MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, huku wanafunzi 23,520 tu ambao ni sawa na asilimia 5.16 ndiyo...
Ni vyema tusijadili sera mpya ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014 kabla ya kuisoma na kuielewa. Mfano kwenye lugha ya kufundishia, sera imeshindwa kuchagua lugha ya Kiswahili pekee kuwa ya...
Nimeangalia matokeo ya watahiniwa waliofanya QT 2014 kwenye website ya baraza la mitihani (NACTE) siyaoni...wameweka ya kawaida tu!
Mwenye kujua namna ninavyoweza kuyapata haya matokeo ya QT 2014...