Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kuuliza jamani mwenye tetesi juu ya uhamisho Wa watumishi walioomba uhamisho Wa mwezi December ambapo watatakiwa kuanza kazi vituo vipya January kulingana na taratibu za TAMISEMI majina yao...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu zangu huku Halmashauri ya manyoni tayari nshachukua.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huu utaratibu ulianzishwa na huyu CEO mpya Dr.Joseph Mabula Kihanda sio mzuri na sio wa kitanzania,tunajua kabisa asilimia Kubwa ya watanzania ni masikini bila kujali itikadi zao lakini huyu bwana...
0 Reactions
61 Replies
10K Views
Jamani naomba mnisaidie, kuajiriwa chuo cha ualimu na kuajiriwa shule za secondary ni ipi nzuri kimshahara na hata kujiendeleza kieimu? :clap2::clap2::clap2:
0 Reactions
41 Replies
12K Views
Matokeo ya mtihani wa kidato cha pili yaliyotolewa na NECTA jumamosi iliyopita yamedhihirisha BRN imeshindwa kuleta matokeo mazuri kwa shule nyingi. Tuzitaje shule hizo wanasiasa wajue BRN si...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The Obvious truth is that a particular method for assuming academic success and making a first class degree in school cannot be applicable to everybody. However, there are specific principles...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
machozi yatutoka wanafunzi wa udsm ktk campasi ya mkwawa baada ya kupoteza mwanafunzi mwenzetu wa mwaka wa pili R.N.P MWANAFUNZI MWENZETU
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu habari za asubuhi! Sisi kama uongozi wa wanafunzi tumefanya jitihada zetu zote kuhakikisha pesa ya mkopo tunapata kwa wakati, hadi hivi sasa pesa ipo kwenye account ya chuo tangu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwanini izi fees na michango ya shule Zetu za kata haziko standard? Mnatuambia fees Tshs.20,000/= ila michango inawekwa mpaka inafika karibu laki mbili mfano, leo nimelipa fees kama ifatavyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa yoyote ambae anamfaham mwanafunzi mwenye wastan wa A . awe kidato kuanzia cha kwanza mpaka cha tatu .bright.tunatoa scholarship kwa kmsomesha full na kumlipia kila kitu.this scholarship...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Binafsi ni mwanachuo cha utabibu (clinical officer) mwaka wa tatu, naomba ushauri wenu ni kipi bora nichukulie degree kati ya mental health and rehabilitation na medical doctor(MD)? baada ya...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
wadau naomba mnifahamishe kuhus huu mfumk wa gpa coz now kuna distinction-merit-credit-pass-fail je kwa f4 kuendelea na masomo ya kidato cha 5 anatakiwa apate ipi hapo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
lini naweza kufanya application ya kusoma masters na deadline yake ni lini kwa 2015 UDSM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kipindi cha nyuma hali ilikuwa mbaya, sasa hivi majuzi mambo yameanza kuwa mazuri sana, hivi ni mambo gani yamefanyika mpaka mambo yanakuwa mazuri kiasi hiki? Je, ufaulu huu unaendana na uwezo wa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
"Discuss the concept of third party interest against trespass nuisance"...i need help plz
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kheri ya mwaka mpya! Kiu yangu ya kusoma IT inazidi kuongezeka siku hadi siku! Lakini kutokana na majukumu yangu napata wakati mgumu kuhudhuria darasani full time. Kwa mantiki hio naomba yeyote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CALL FOR APPLICATIONS The Center for Cultural Diplomacy Studies (CCDS)Announcement of New International Conferences & Academic Programs(Berlin, The Hague, Zagreb; February-March 2015) Dear...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shule ya Msingi ya Kikuyu inayopatikana Manispaa ya Dodoma (Mjini) wanafunzi wa shule hiyo wanakaa chini kwenye sakafu. Waalimu wa shule hii wanawaagiza watoto kufika na mifuko ya salfeti ili wawe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IMPROVE YOUR CAREER WITH ADVANCED MICROSOFT EXCEL TRAINING Do you aspire to be more efficient in doing your day to day activities with Ms Excel? The Global Business Consulting (GBC) is a solution...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Natamani kusoma nje katika level ya shahada,naombeni mnisaidie namna ya kupata sponsorship tafadhalini. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…