Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni sekondari ya Barbro Johansson inayomilikiwa na prof. Anna Tibaijuka, imeongoza kwa ufaulu wa somo la hesabu kidato cha pili kwa upande wa wasichana kitaifa. Source : JamboLeo
2 Reactions
69 Replies
9K Views
Habari wadau. Nmeona chuo cha IAA pale Dar campus na Arusha wanatoa hiyo course kwa mwaka mmoja wakishirikiana na Coventry University. Swali langu ni Je, hiyo masters degree inakubalika na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli. Haiwezekani kati...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Ni baada ya kamanda masatu na mwakibinga kuondolewa jana kwa escort ya polisi Leo kamanda Messanga Thobias, anayesoma sheria mwaka wa tatu(spika wa bunge). Kaondolewa kwa ulinzi mkali na mizigo...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wadau eti shule ipi ni nzuri hapa dar au maeneo ya jirani nahitaji kumhamishia mtoto wa kiume.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ndugu wana jamvi, Kuna mtoto wangu na wanafunzi wengine wamerudishwa nyumbani kwa kuwa hawakuwa na saa za mkononi na viatu vya kufunga, mimi kama mzazi imeniuma sana hasa hili la saa ya mkononi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nahitaji notes za English language kidato cha 5 na 6 kupitia internet so mwenye websites au blogs anayoijua anisaidie tafadhari
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani naomben kuuliza majina ya watu walioomba mafunzo ya ualim awam ya pili mwez 12 ambapo walidai wangetoa majina mwanzon mwa january naona kimya mwenye taarifa plz!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau kwa yeyote aliye na matokeo ya uhamisho Wa walimu Tamisem naomba anitumie nahamisha mlembo Wangu pekee
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Nime kaa chumbani na rafiki yangu, mara akatumiwa sms post zimetoka waambie na wenzako, tembelea MOE, jamaa mbio mpaka kwenye simu lakin kutazama hakuna. Tukaona labda kwa simu haionyeshi, washa...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
Jamani kama mlivyo wagi sikia.kuhusu nyama na vifaranga vya kware.......nunavyo tena mje ninaviuza na kutoa maelejezi kidogo juu yao na juu ya kuwaga......nunai mbaka wa wiki tati kwa sh.6000 tuuu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
"Education is the passport to the future,for tommorow belongs to those who prepare for it today-Malcolm X!" Kila nikiangalia mwenendo wa sekta yetu ya Elimu naikumbuka kauli husika! Ni suala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau namshukuru Mungu Kuwa ni wazima. Kuna jambo moja ambalo ni changamoto kwa vyuo vikuu vya serikali.Hivi ni kwa nini huwa wanachelewa kutoa vyeti? Mfano Chuo cha Theofilo Kisanji (TEKU)...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wana jamvi; Samahanini nani mwenye tetesi na kujua kipi kinaendelea pale jikoni Tamisemi juu ya uhamisho Wa watumishi Wa umma hususani walimu? Uhamisho huu namaanisha Kwa wale waliomba...
0 Reactions
23 Replies
12K Views
Habarini wapendwa mwenye ufahamu juu ya haya matokeo tafadhali anifahamishe ni lini yanatoka? Matokeo ya form two walomaliza National mwaka jana December yanatoka lini? Tafadhali mwenye ufaham...
0 Reactions
57 Replies
109K Views
Habari zenu ndugu wanajamvi.. Naomba kupata mawasiliano na mtu yeyote aliyepo vikindu ttc awe mwanachuo au mkufunzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari kwenu? Kichwa cha habari cha husika, ni mwalimu wa kike anaefundisha Singida wilaya ya Mkalama idara ya sekondari kwa masomo ya sanaa. Anatafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fungua link ujionee wanafunzi wa shule hiyo walivyofeli. Swali la kujiuliza kuna nini ktk shule hiyo ambayo ipo mjini Babati? Shule ina walimu wa kutosha lakini imefelisha watoto wengi kama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani wakubwa humu,habarini zenu,,, awali ya yote naomba kujua NACTE ni chombo cha serikali au binafsi? maana naona kuna mchezo mchafu wa watu wachache umeandaliwa ili kujitengenezea mazingira...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Tulikuwa na mwalimu mmoja wa historia kidato cha tatu,yaani akiingia darasani ni mwendo wa kusoma notisi mwanzo mwisho.tulikuwa tunachapa usingizi tu.
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Back
Top Bottom