wakuu poleni na majukumu naomba msaada wa learning material ya cpa katika masomo aya A5 perfomance management na C2 auditing and assurance jamaa wa nbaa waliweka kwenye website yao ila inasumbua...
Wiki iliyopita katibu mkuu kilimo... Alikuwepo hapa SUA na watafiti wa mambo ya kilimo toka ng'ambo wakizungumzia namna gani wakulima nchini wapige hatua kwa kilimo. Baadae wanaosoma Bsc, Applied...
Naomba kuuliza, hivi chuo ambacho hakijakamilisha usajili(Accredited insuttion) wa NACTE kina uwezo wa kutoa vyeti kama ilivyo kwa vyuo vilivyokamilisha usajili?
Habari wanajamvi, inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na...
nipo IKWIRIRI_RUFIJI mkoa wa PWANI idara ya SEKONDARI natafuta mwalim wa kubadilishana nae kituo awe anatokea MWANZA JIJI/ KAHAMA MJI. sehemu niliyopo usafiri ni wa uhakika,itakuchukua masaa 2 tu...
habari zenu jaman, kuna tetesi huku mtaani kuwa hakutakuwa na mafunzo ya JKT kwa wahitimu wa kidato cha sita 2015, je ni kweli? kama kuna mtu mwenye uelewa anisaidie. Najua nipo ndani ya GREAT...
Somo la General Studies katika kidato cha sita si sehemu ya combination. Waraka mpya wa matokeo kwa GPA hauoneshi kama somo hili litajumuishwa katika kukokotoa matokeo ya mwanafunzi wala haioneshi...
Habari wanajamvi mimi ni mwalimu niliyehitimu mafunzo ya Ualimu mwaka 2014 na ktk mtihani wangu nilisap masomo manne ambayo ni research,psychology,ICT,na communication skills.
Kwa hiyo wadau kuna...
Jaman Leo nimeenda NMB kutoa vihela vyangu vya matumizi,khaaa Walimu A/c zao cjui zimekuaje hazitoi hela,hata ukiingia ndani mambo Yale Yale, hv nyinyi Serikali mbna hamna uruma na hawa watu...
Habari wana jamvi. Kuna walimu idara ya Sekondari na primary katika halmashauri zetu, kama Kilosa ambao tangu wapandishwe daraja mwaka jana July, bado kulipwa mishahara mipya na kulipwa hizo...
jaman Leo nimeenda NMB kutoa vihela vyangu vya matumizi,khaaa Walimu A/c zao cjui zimekuaje hazitoi hela,hata ukiingia ndani mambo Yale Yale,hv nyinyi Serikali mbna hamna uruma na hawa watu...
This content was written by a student and assessed as part of a university degree. E-IR publishes student essays & dissertations to allow our readers to broaden their understanding of what is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.