Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mwanangu anatarajia kumaliza elimu ya msingi mwakani. Anasoma kwenye moja ya shule za umma (serikali) hapa Dar. Nisingependa aende kusoma shule hizi za kata ambazo nyingi mazingira yake ya elimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika shule mbali mbali na sehemu mbali mbali, kumekuwa na matabaka mawili kati ya wasomi wa art na science, huku wanaochukua masomo ya science wanajiona wao ndio bora kuliko wasomi wengine...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nashangaa kwa nini Huyu mtu anaiburuza hii wizara kiasi hicho? mbona hao wakristo na waislam wakiwa na shuguli zao za kawaida tu huku mtu haijalishi siku muda wote utawaona wakiruka ruka. wabudha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
masaada wadau kwa anayefahamu shule nzuri ya serikali yenye kutoa mchepuo wa pgm.nina kibwana mdogo changu kinafikiria kuchukua kombi hiyo.ahsanteni wadau
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Unakuta mtu ana FEE , katika PCM anaenda kusomea civil au electrical. Hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunzi wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo...
0 Reactions
106 Replies
18K Views
Wadau kumeibuka tabia siku hizi ya kuwalaumu walimu kuwa walifeli mitihani kwa ngazi zote form four kwa wale wa shule za msingi na form six kwa wale wa sekondari.Siku hizi hata watoto wadogo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Samahan , natafuta mwanafunz wa kukaa nae chumba tuchangie kodi,
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini nimekuja na swali hapa ningependa kujua tanzania ni nchi ya ngapi kwa ubora wa elimu inayo tolewa ukilinganisha na nchi zingne coz mm naona kama elimu ya tanzania ni ngumu sanaaaaaaa tena...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za leo wanajamii! Nauliza mwenye kufahamu, mkopo kutoka HESLB kwa waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada maalum ya ualimu chuo kikuu Dodoma umetoka ama bado!!?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadau, Natafuta mawasiliano na wahusika wa hii shule hasa ya sim au email nayahitaji kwa haraka ama kwa unae jua ada yao kwa mwaka kwa form one basi itakua vema ukinifahamisha.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni dhahiri kabisa hapa Tz kuna ongezeko kubwa sana la taasisi za elimu za taaluma mbalimbali sambamba na ongezeko la wahitimu, Je, tunakosea wapi? Hatuzijui fursa? Ni kweli taasisi za mikopo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana jamvi, nina mwanangu anasoma form 5 PGM anataka kwenda Dar kutafuta tuition ya masomo yote. Msaada nata tuition serious yenye magwiji ya PGM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafadhali wadau kwa mwenye ufahamu na hili anifahamishe tafadhali. Kutokana na uhaba wa wataalamu wa maabara kwenye shule za sekondari za serikali imepelekea walimu wa masomo km chemistry kuandaa...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Namtafuta Mwalimu Martini Nandi (maarufu kama Mwalimu Nandi). Alikuwa mwalimu wa shule ya msingi Malolo iliyopo wilaya ya Singida vijijini, Tarafa ya Mtinko, hadi kufikia July mwaka huu (2014) -...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeshasikia mabishano mara nyingi watu ambao wamesoma education wanadai kuwa kama hujasomea ualimu huwezi kuwafundsha watu wakuelewe yaani hujui mbinu za kufundishia, je kiuhalisia ni kweli hiki...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Naomba msaada wa tuition nzuri kwa masomo ya A-level combination za PCB NA PGM. zinapatikana wapi? Wanafunzi wanakaa Gongo la mboto.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Je text book ya darasani ya olevel toka form one hadi form four inakidhi haja ya mwanafunzi kuona utamu wa physics na kufaulu?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Hizi ni baadhi ya Mitihani ya Kenya Kidato cha Nne. Jee, Kwa maoni yako ni rahisi kushinda uliyofanya na ungeweza pata Maki ngapi? Ni Mtihani wa 2013 wala sio 2014. Kwa kuwa wengi hapa JF ni...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Kiongozi wa mikopo chuoni juzi ameleta taarifa ya haraka kwamba wale wote ambao wanataka kuongezewa mkopo na wale ambao pia hawana kabisa mkopo hata kama hawajaomba kwamba waandike majina na namba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
How gender and sex affects boys and girls differently?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom