Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa wale waliofanikiwa kufika A-level Kuna inshu ina nitatiza hapa philosophy ideas of lenin & Karl Marx na philosophy ideas of Nyerere na Nkrumah . Nimetafuta nimeshindwa na ticha kasema tutajua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Find attached to view job details and means of correspondence.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeomba chuo mwaka huu, lakini bahati mbaya nimeangukia kozi ambayo sikuipenda kutokana na competition, hivyo mimi binafsi napenda kuacha masomo kwa mwaka huu, ili nipate nafasi yakuja kuomba...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jaman sory naomba kuuliza kuwa suala la boom kwa first year tunapata lin? Mana me nimeripot hapa udom tar. 30/10 lakn mpaka sasa cjapata boom langu na maisha yashaanza kuwa magumu. Naomben majibu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepata kuona waraka wa necta unaowaruhusu wahitimu wote waliowahi kupotelewa ama kuharibikiwa na vyeti vyao vya hawali kwamba sasa wanaweza kupatiwa vyeti mbadala ama 'alternative certificate'...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform you that the deadline for transfers (applications and allocation to new institutions) was on 3rd November 2014. A list of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Jana nilijuwa na jamaa zangu na niliwauliza kuhusu chuo kizuri cha sheria kwakuwa kuna jamaa yangu anahitaji Katika mazungumzo hayo kuna jamaa alitaja chuo kimoja cha kisabato ndipo jamaa...
7 Reactions
178 Replies
23K Views
Mtu anaanzisha shule,then kwenye matangazo anaenda kupiga picha majengo sehemu nyingine kama ya chuo fulani kikuu na kusifia huduma zake,lakini kumbe ukweli ni mwingine na wengine wakifika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Guyz habarini hapa mm nina wazo na ninataka nipeleke ngazi husika naombeni ushauri niende au vipi na je hili wazo litakuwaje Lipo hivi kila taasisi hapa nchini ina umuhimu mkubwa na, wengi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naombeni msaada kuhusu hili swala kwa mfano mtu aliyekosa mkopo kabisa akalipia garama zote za chuo za mwaka mzima alafu akaja ku appeal mkopo na akapata vipi chuo kinamrudishiaa pesa zake au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye Hoja kuwa hali ya elimu ya taifa hili ni mbaya imeendelea kuungwa mkono na wadau mbalimbali, safari hii Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, ameeleza...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeaandaa materials kwa ajiri ya kuandika kitabu cha litetature..nakadiria kitabu kuwa na page kama 150 hv..mwenye kujua taratibu za kufuata na kupata isbn pamoja na gharama za printing anijuze plz.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
maisha ya chuo nasupport ndogo ya mzazi,nyakati zimekuwa ngumu sana nimeamua kuachana na chuo rasmi, inaumiza lakini hakuna jinsi siwezi fahamu kipi kitatoke baada ya hapa cha msingi kuendelea...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
HABARI, Wadau, hii course ya CONFLICT RESOLUTION AND MEDIATION soko lake la ajira lipoje?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NIna ndugu yangu kamaliza chuo kikuu na ana degree 1 umri wake ni miaka 23 anataka jiunga na jeshi Je jeshi wanasomesha watu kufanya Masters? Vikosi/Vitengo vipi vya jeshi ni bora kujiung navyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndg wanajamii Nna mpango wa kusoma open university ya education economics na geogy lkn cna uhakika kuw ntakapomalza degree wizara itantambua kama mwalm sawa na fresh from university ama vp na je...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Shule nyingi haswa za serikali notes zinazotumika ni za walimu wa mitaani wasiosomea ualimu. Japo mwalimu yupo lakini bado anakua km option. Shule km ilboru kulikua kuna ktu inaitwa chamber huto...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
a) if A + B + C= 180 degrees ,prove that sin(B+C-A) + sin (C + A-B)+ Sin (A+ B+C)= 4sin A sinB sinC
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wadau wa elimu habari zenu? Naitwa mwl.mwaipaja nafundisha "general studies" nkasi s.s mkoani rukwa. Nataka kuchapa kitabu cha gs kwa anaefahamu naomba anijuze utaratibu wa kupata isbn mpaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mpaka sasa wanafunzi wa mwaka wa pili hakuna kinachozungumzwa kuhusu boom cjui wanatutakia nn maana tumehishiwa tunafukuzwa kwenye nyumba tulizopanga Kodi mkataba umekwisha,tunakula kwa taabu. Je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom