Naomba msaada kuhusu mahali chuo hiki kilipo ukiwa unatokea Ubungo. Msaada kuhusu gari au magari ya kupanda na vituo vya kushukia hadi kufika chuoni hapo. Nashukuru kwa yeyote mwenye mawazo ya...
Habari zenu wakuu;
Katika harakati zetu za kuinua vipaji mbalimbali tumekutana na kipaji cha mtu anayeandika vitabu mbalimbali na kwa kiasi kikubwa vimekubalika katika jamii ila changamoto ni...
Wadau, naomba kufahamishwa, Je Mbegu ya Mnyama inayo weza/ku/sababisha Mimba, ni Sehemu ya viumbe hai au La? Kama ni Sehemu ya viumbe hai/hai, je katika Classification ya Viumbe hai, ina fall...
Habari wadau
Majina yameongzwa kwa waliomba diploma maalumu chuo kikuu cha Dodoma na nakufikia jumla idadi takribani 6000. Majina yameambatanishwa hapa chini.
Wadau nimesikitishwa sana na matokeo mabaya ya shule za Msingi Mkoani Mbeya! siasa zimeharibu kila kitu Elimu imeshuka sana na inasikitisha, wenzetu wanasonga mbele sisi tunazidi kupotea kabisa...
Nikiwa kama mwanafunzi wa udaktari bingwa ninashangazwa sana jinsi wizara ya afya inavyochelewesha malipo kwa wanafunzi wa udaktari wanaosomea digrii ya pili. Imekuwa ni kawaida sana malipo ya...
JAMAN MI KUNA DOGO YUPO UDOM ANASOMA BACHELOR OF BUSNESSS ADMINISTRATION UKIMULIZA KAMA ANA MKOPO AU HANA ANASEMA ANA MKOPO LAKIN UKIANGALIA KWENYE SYSTEM YA KUJUA KAMA UNA MKOPO AU HUNA(LOAN...
Shirika lisilo la kiserikali la True Vision Tanzania (TVTA) limeanzisha programu maalumu yenye malengo ya kutoa motisha ya kuwaongezea kujiamini na kusoma kwa bidii wanafunzi wote wanaosoma kwenye...
I`m a holder of a Bachelor of science with Education (CHEMISTRY and BIOLOGY) from the University of Dar es salaam. I`m ready to work at any school . For further communication use; 0759 410 327.
Ndugu zangu nilikuwa nimechaguliwa chuo cha tiba tandabui ila wafazili wangu wakakataa kunilipia ada ila nilikuwa nimekwisha lipa laki 4 je naweza pata transfer ya chuo af chuo ga naweza pata au...
tumezoea kusikia kwamba benki A huwai kuwawekea mikopo wanafunzi wao kuliko benki B ambayo watu usema mikopo huchelewa sana... je nikweli kunakuwa na hujuma zinafanywa kwa maksudi ili tuwaone...
wadau kama kichwa kinavoonekana hapo naomba mtu mwenye notice za hoteli management!nataka nijisomee ili nitafte kazii za hotel coz inaweza saidia kuliko hii Degree maana sioni dalili za...
Wakuu salam,
Naomba mwenye kujua shule ya sekondari (O-level) ya wasichana, yenye ghalama nafuu ya karo (walau 1.5M) na inafaurisha vizur. nina mdogo wangu nataka na yeye akasome aisee.
shukrani
Habari,
Kutokana na bodi ya mikopo kutoa majina kama walivyofanya tume ya vyuo vikuu hivyo kulazimu wahusika kuyasaka. Nitayaweka hapa na kujitahidi kuyaongeza kadiri yanavyoongezeka.
SUA 2014...
Naomba kuuliza wakuu,!hivi kuna mtu yeyote ambaye ameriport chuoni walikomuhamishia na kufanyiwa registration??maana niko gizani na vyuo vingi tayar walianza kusoma ni takribani mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.