Kwa wale wadogo zangu wanao tarajia kuanza mitihani yao ya taifa hivi karibuni,ningependa kuitumia hii fursa kuwatakia mitihani myema..Tupo pamoja katika kuwaombea na nnaimani matokeo yatakuwa...
hellow guys ... kwa yeyote mweenye kujua chuo/vyuo vya nje (international university) vyenye reputation(jina zuri) ambavyo undergraduate anaweza kusoma akiwa hapa hapa nchini ..., naomba kama...
Wana jukwaa la elimu habari zenu. Leo katika pitapita yangu katika shule fulani ya sekondari jijini Dar-es-salaam nimekutana na wafunzi saa kumi na mbili wakiwa katika harakati za kupeana majibu...
japo walikatishwa tamaa eti watakomaa mwaka mzima bila boom lasivyo waende kwenye vyuo walopangwa mwanzo.,ila habari ni njema sababu TCU&HESLB tayari washaweka mambo sawa wale wa bugando majina...
Kassim Majaliwa, Deputy minister for Regional Administration and Local Government
In the wake of growing disputes, the government has directed councils in the country to seek consent of public...
Hizi ni picha za Chuo cha Ualimu St Marys kilichopo Tabata. ni aibu kuona hapa wanafundishwa walimu na ni jambo la kusikitisha zaidi chuo hiki kipo mjini tena jijini Dar Es Salaam.
Chuo hiki...
habari wakuu, hivi jaman matokeo ya walioomba kuhama kozi yanatolewa lini apo chuo kikuu cha mlimani UDSM??? mana hii ni wiki ya 4 sasa, mwenye uzoefu naomba anijuze hua yanatoka wiki ya ngapi???
kwa wale waliokosa mkopo kwa maneno haya ya kibaguzi yaliyotolewa na Bodi ya mikopo...COMPLETED F6 / DIPLOMA MORE THAN 3 YEARS AGO...maswali kwa Bodi kama ifuatavyo:-
(1) kwa nini hamkuweka kwenye...
Wale walioomba second sellection matokeo tcu walishatoa? na kama bado wanasubiri nini wakati baadhi ya vyuo moduli ya pii sasa??na kama tayari ni njia gani walitumia ?
habarin wana jf. nina mdogo wangu alichaguliwa chuo cha mpwapwa lakin hajaripot mpaka sasa kutokana na kutafuta mahitaji pamoja na ada. But now amepata ila wasiwasi wake huko chuoni atapokelewa...
1.ifm - ni chuo kilicho na resources nyingi kitaaluma academially ni kizuri wanaoleta mchezo hiki chuo wanajifukuza, sio ajabu mwaka
wa kwanza mnaanza mpo 800 na wahitimu kubaki hadi 500, test 1...
Restless devevopment volunteers dodoma network inapenda kutoa taarifa kuwa tunasajili wanachama wapya, kwa wanafunzi wote wa UDOM na maeneo jirani mnakaribishwa kujiunga na restless tufanye kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.