Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mimi ni mwanachuo second year ambaye ckufanikiwa kupata mkopo kwa mwaka jana,hivyo ilinilazimu kuomba tena mwaka huu,lakin cku majina yalipotoka account yangu ilisoma NOT SECURED bt baada ya muda...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Wadau naomba msaada,Nina mwanafunzi wa first year hana chumba na anahitaji kuchangia chumba na mwanafunzi yeyote atakayejitojeza.Kama yupo aweke mambo hadharani kwenye jukwaa letu hili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ivi inakuwaje Kwa wale tuliokosa mkopo mara ya kwanza tukaomba tena awamu hii. Utajuaje kama umepata Au umekata?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu nataka kwenda chuo cha utarii naombeni kwa anae faham kilipo na jinsi ya kuwasiliana nao anisaidie!! "shukran sana!"
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Naomba kuuliza ni kweli TCU wametoa majina ya transfer awamu ya NNE?? na kama ni kweli naomba link ya kuangalizia
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za jion JF Hivi hawa walimu wa diploma wa mwaka huu wataajiliwa bila kuwa na cheti cha JKT ? Maana kuna mdogo wangu yupo hajaenda JKT Nahitaji kujua kama hataajiliwa tumtafufutie cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni jambo la kusikitisha kwa chuo cha taifa na kimataifa udsm-mlimani kushindwa kuweka mazingira rafiki ya kujifunza. Kwa kipindi cha zaidi ya miezi mitatu tangu july-october, chuo kimeshindwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mambo vipi jamaa zangu!? Nauliza majibu kwa walioomba mkopo HESLB wanafunzi waliodahiliwa diploma ya elimu (special diploma in education) katika chuo kikuu cha Dodoma UDOM yametoka au bado? Msaada
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kijua jaman kwa wale walioenda kusoma hyo course ya ualimu wa awali cz nami n muhanga ila sijafika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomben kujua leo majina ya mkopo yamekuja chuoni kwetu ila jina langu halipo. Hapo ninafanyaje msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi najiandaa kufanya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2016 kama mtahiniwa wa kujitegemea, endapo ratiba ya mtihani haitaathiri masomo nitakayo soma, (1) je! kuna ulazima wa mimi kusoma...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naweza kuajiliwa bila cheti cha JKT? Maana nilienda pakanishinda Nimemaliza chuo mwaka huu ngaz ya diploma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani naombeni msaada kwa anayejua utaratibu unaofuata baada ya kulipia transfer fee. maana TCU sioni update yoyote...
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Habari za asubuhi GT wa JF. Kuna suala kuhusu hiki chuo mimi kama mzazi ninayesomesha kijana wangu pale MU nashindwa kuelewa...nina kijana wangu amemaliza mwaka wa kwanza wiki iliyopita....kituko...
0 Reactions
72 Replies
12K Views
Hivi wale waliokua not selected na TCU wakapewa list ya course za kuomba zenye nafasi mpaka saa hizi hawajatoa results hawa TCU maana wengine washaanza masomo sasa mpaka mtu uje ujiandaee upate...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman wadau kwa muda uliopita nilikuwa nalia na tcu kwa mambo ambayo wamenfanyia lakn nikanyamaza sasa npo chuo ambacho nakipenda lakn koz yake siipend sabab nilifanya 2round aplc so nilifanya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Some positivity once in a while is not a bad idea. Ni akinanani (former Students and/or Faculty) ambao wameweza kufanya mambo makubwa (ktk academia, industry, politics, business etc) ndani na nje...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Poleni sana na majukumu wakubwa. Samahani kwa yoyote anaejua gharama za kufanya accounting technician exam level 2 , including gharama zote za review class pamoja na registration expenses...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wizara ya elimu imekuja na mpango mpya ambao watahiniwa binafsi watafanya kila somo mitihani wiwili paper one mark 30 na paper two 70 mark . Zikijumlishwa unapata marksi 100. Wasiwasi wangu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom