je mazingira ya kazi ni magumu
wamewakumbuka wazazi wao wanataka kurudi karibu na nyumbani
je wamewamiss waume/wake zao
je wamemiss kwenda club na kumbi za starehe
Najaribu kuwaza embu...
Mkurugenzi wa Elimu ya Juu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sylivia Temu
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema haina fedha za kutosheleza kuwakopesha wanafunzi wote...
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere kuwa Chuo cha Mfano kama ni kweli kuwa Serikali imefanya kweli kwa kuuweka Uongozi mpya ambao ni wasomi na weledi. Sisi wanafunzi tunaorudi Chuoni hivi karibuni...
nipo chuoni yamebandikwa ila ni watu 444 so haya hapa ***http://www.sjut.ac.tz/announcements/sjut2014/universityfee/SJUT%20BT%204%20FRESHERS%202014-152.pdf***
ST JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA...
Je sijui ni mwendelezo wa BRN kwa kawaida mtihani wa kidato cha pili ulikuwa ukifanyika mwezi wa kumi na moja lakini kuanzia mwaka Jana 2013 umeamishiwa mwezi wa kumi na ndio utaratibu mpya
Cha...
Habari wadau, kuna mdogo angu kachaguliwa chuo fulani na mkopo kapata 80% ila anataka kubadili kozi na kozi anayotaka kuhamia wamechukuliwa mwisho wenye cut off point 8.5 na yeye ana cut off point...
Waungwana Habari za wakati Huu!!
Naomba mwenye soft copies za vitabu vya Geography ambavyo vinatumika kwenye syllabus ya Tanzania na hasa vya O - Level anisaidie Mfano Human & Economical...
Wanajamvi naomba kujulishwa juu ya usajili kwa mwaka wa kwanza saut-mwanza, maana mie nimepata batch ya 3 na majina yaliwekwa net tar 5/10 wakat usajili ulianza tang tar 23/9 na hawajaweka hadhar...
Technically, yes , eggs are vegetarian, since they are not animal flesh. Many vegetarians include eggs in their diet, while still abstaining from eating chicken, cows, pigs, fish...
Kuna thread niliileta nikikemea kuwa kuwa walimu wa msingi hawakufeli kidato cha 4,wengi wamesema walimu walifeli.Hoja yangu leo je, ni hao walimu tu ndiyo wanazorotesha elimu ya TZ?
kama kuna...
Tafadhali naombeni msaada, nimechaguliwa nilifanya application through nacte bt wakat na apply nilikosea jina la kati badala niandke S. nikaandka D. haitokuwa na madhara nikifka chuo. naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.