Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

tafadhali sana wanandugu wa jf naomben msaada wenu wa kujuzwa shule ya secondary ambayo iko vizuri kimasoma na pia ada yake poa bila kujali mkoa ilipo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naombeni kujua kama majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti 2014/2015 yameshatoka. Kwa yeyote mwenye tetesi please anijuze.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
ndugu zangu walimu na chama cha walimu cwt,kuna mwalimu shule moja iliopo makambak0 anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la mauaji,taarifa zilizotufikia toka kwa wana familia Wake zinasema...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello wana JF, ,,,je inawezekana kwa hapa UDSM ? Msaada tafadhari,,,kuhusu HESLB hao jamaa sitaki uwaongelee katika jibu lako kwani sihusiki nao kabisa,
0 Reactions
10 Replies
3K Views
We kama unajua mtoto wa familia ya kimasikini kwanini ujaze course zisizo na mkopo .eti mtoto wa mama ntilie unajza chuo ka ifm wakati coz karibia zote za pale ni non priority. kwa mliojaza coz...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
  • Closed
Ukistaajabu ya musa utaona ya filauni hapa muhas first year ni wa ajabu sana eti wameweka classes kati ya shule zenye majina nchini na kayumba schools. Kwa mfano, discusion groups za wa2 wa mzumbe...
4 Reactions
69 Replies
12K Views
HABARINI WOTE. Hapa ndipo akili pamoja na ufahamu wangu unaniambia kua TANZANIA YETU watu wengi(na maanisha wanasiasa, asasi za kiserikali na asasi binafsi na wakiwemo hao wanaojiita watetezi...
0 Reactions
2 Replies
706 Views
Naomba nisaidie kuangalia jina la adeni kyomo kama kapata mkopo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau kwenye Website Ya Ardhi University wamewekaa Majina Ya Waliochaguliwaa kujiunga na chuo 2014/2015 Lakini Hayafunguki Tatizo Nini? ............................................ MAJINA YA...
0 Reactions
72 Replies
14K Views
..
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani sisi tuliopitia vyuo vya kati(diploma holders) karibia wote tumekosa mikopo ya kusoma elimu ya juu 2014/15 na wengi wetu tuliapply program zenye kipaumbele(priority) kama vile engineering...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu habar zenu,naomba ndugu zangu niwaulize Nipo form5 PCM,maendeleo yangu mazur ya darasani yamenifaya kuingiwa na ndoto ya kusoma higher education nje ya nchi,je inawezekana mtu ukapata...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Jamani mbona tangu majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo yaanze kutolewa, napita humu kila siku sijaona chochote kuhusu Iringa university! Wala watu waliochaguliwa kujiunga ktk chuo hicho...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Je'kwa sasa naeza kupata shule ya advance kwa division four ya 32 ya mwaka jana msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Chuo cha St Joseph kimebandika majina ya wanafunzi ambao wanaendlea na masomo chuon hapo ktk program ya 5 years degree waliopata mkopo kw mwaka wa masomo 2014/2015 huku idad hyo ikikadiriwa kama...
1 Reactions
23 Replies
9K Views
Wana jamvi naomba kujuzwa chuo kinachotoa masters of special need education au masters of psychology?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Please naombeni msaada, nilijisajili ktka chuo amabacho sjapangiwa na TCU, so mkopo umeingizwa chuo nilichopangiwa na TCU amabcho sasa hiv nataka niende. Je ! nitasajiliwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo first year UDSM wameanza orientation week nitaendelea kuwapa updates kwa kile kinachojili maeneo ya Nkrumah na Yombo pia Smart card
0 Reactions
4 Replies
2K Views
serikali sikivu , imeweka kwenye orodha ya waliopata mkopo ,ingawa kozi niliyoiomba ni Non priority , ambayo ni Bcom in HR UDSM . 4that thanks .
0 Reactions
9 Replies
1K Views
hii itawahusu wale ambao walifanya transfer kupitia vyuo husika. Itakula kwao. Taarifa yenyewe ni hii hapa: Tume ya vyuo vikuu tanzania (tcu) ina mamlaka kisheria kusimamia na kuratibu udahili wa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom