Habari, jamani m nimechaguliwa apo udsm nataka kuhama kozi ila ndani ya college iyo iyo, naombeni maujanja jinsi ya kuhama kirahisi na kwa mda mfupi ata ndani ya wiki hii, kozi nayotaka kuhamia...
Samahan ebu jaribu kufikiria pesa uliyotumia tangu unaanza darasa wa kwanza mpka hapo ulipo(masters au degree)umetumia milioni ngapi?
Mfano tu elimu ya chuo kikuu(undergraduate)mtu unatumia si...
Naomba yeyote mwenye contact za mtu ambae anafanya kazi st john university anisaidie achana na zile zilizopo kwenye email yao eithr mkuu wa pale director au hata professor au lecture yeyote...
University students through their umbrella organ, Tanzania Higher Learning Institutions Students Organisation (Tahliso), have faulted the decision by the Tanzania Commission for Universities (TCU)...
Natarajia kufanya mtihani wa acsee 2016, kama mtahiniwa wa
kujitegemea; je , naweza kusoma masomo matatu ambayo hayapo kwenye mpangilio wa tahasusi (combination subjects) bila kuathiri matokeo...
hua najisikia vibaya sana kuona mwanafunzi wa chuo kuomba mkopo na kukosa mkopo inaniuma sana kwa kua na mimi nilikua miongoni kati ya wale ambao hawakupata mkopo ata senti tano na nimeishi bila...
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa chuo cha sekomu mwaka wa 2&3 kukosa mkopo, karibia nusu ya wanafunzi hawapo kwenye list iliyotolewa na bodi ya mkopo na mpaka sasa hawajapata muafaka, hivi ni...
Nipo free kwa kipindi chwa wiki sita tu,hivyo napenda kutumia kipindi hiki kufundisha vijana wanaohitaji kufundishwa physics na mathemaics(ni kwa advance tu)
lakini mwanafunzi huyo awe anaishi au...
Eti wakuu.
Naombeni msaada maana nahisi kuchanganyikiwa nimemaliza 2013 na kupata alama 32 hadi sasa sipo kundi lolote, nimeomba ualimu hadi sasa sijapata kuona jina kurudi hadi sasa sielewi...
Kuna uvumi unaozagaa mitandaoni na sehemu mbalimbali kuwa kwa wale waliokosa mkopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015.
HESLB wata release majina ya watu wengine watakao pata mkopo ifikapo jumatatu...
Wakuu kuna mdau kanambia wahitimu wa kidato cha nne hawaendi tena teaching hadi wapitie kidato cha tano na sita.
Mweneye ukweli kuhusu jambo hili naomba anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.