Matokeo ya mitihani ya supplementary yalotolewa tar.17 jumatano iliyopita yanapingwa vikali na serikali ya wanafunzi 'Dar es salaam Institute of Technology Student Organization-DITSO.
Kupitia...
mbeya university of science and technology...nilikuwa nasoma join instruction yao hawa jamaa...nilipofika kwenye mambo ya hostel nikachoka....eti chumba watu 8. jaman ...,kama watoto wa...
Habari wakuu
University of Bagamoyo wametoa majina kwa mfumo wa excel, anaeweza kuconverty kwenda kwenye pdf anisaidie
Majina ya chuo cha Bagamoyo kwa mfumo wa PDF
UOB 2014-15 PDF
The objective of the ABE Initiative master's degree and internship program is to support young personnel who have the potential to contribute to the development of industries in Africa. This...
Me ni miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa chuo cha Mzumbe,,,, sa jina langu sijaliona ktika list ya wanafunz waliopata mkopo,,, nimetafakari xana nimeona labda nipostpone mwaka niapplly tena...
Its for long time now we are wandering for the hardship of physics, I worked on it for many years and now I came with a solution. I prepared the whole solutions for Roger moncaster nelcon and...
Hellow wadau,
Naombeni mnieleweshe kuhusu HESLB vip kuhusu majina ya waliomba mkopo continuing student coz am confused au HESLB ndo wamepotezea!!!!
Natanguliza shukraan
Wadau, mdogo wangu amepangwa bcom in procurement UDOM bt me nimemshauri akifka chuo abadilishe achukue bcom in accounting ila wadau mbalimbali ndani na nje ya familia wanamshauri akomae na hiyo...
Pata elimu bora na ya uhakika kwa somo la physics kwa wanafunzi wa A-level (form V & VI),
Naweza kukufikia zaidi kwa urahisi kwa wale wanaoishi Dar es Salaam maeneno ya...
Jaman ndugu zangu, wanaofahamu zaidi juu ya st. joseph university college engineering and technology(Dar). Naomba mnifahamishe chochote mnachokifahamu juu ya chuo hicho.
Natanguliza shukraan...
Nimefanikiwa kuchaguliwa chuo cha mipango dodoma kwa course ya Bachelor degree in Human Resources and Planning management na wakati huo huo nimechaguliwa chuo kikuu cha dodoma kwa special...
Ndugu wana Jf, naomben msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya coz ya hortculture. Maana mi mechaguliwa kujiunga nayo ila mzee wangu hataki akidai kwamba kupata field ni vigumu, haina ajira pia ktk...
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana...
WanaJF kuna kijana wangu kachanguliwa kwenye hichi chuo (UAUT), kipo kigamboni, inaonekana ni chuo kipya kabisa.
Kama kuna mtu anakielewa vizuri tuelimishane ubora wake kama kweli panafaa au nayo...
wadau wa mwaka wa kwanza, natafuta mtu wa kunibeba mabibo hostel, kama uko tayari tuwasiliane, niko third year & worry out nitalipia kwa whole year
( plse help me coz hii issue inanipa headache...