Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba mniambie kama kuna ukwel wowote kuwa mtu alyesoma egm atapata tabu kwenye ajira hapo bdae.
0 Reactions
32 Replies
11K Views
UJENZI WA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI NA KUKATWA MSHAHARA WA MWALIMU VINAHUSIANA VIPI? Hii ni aina mpya ya kodi kwa walimu? Au mishahara yao ni mikubwa mno serikali inafanya hivi kuleta usawa wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Chuo kikuu cha mtakatifu Agustino mwanza kina mpango wa kutimua watoto wote masikini, hii ni baada ya kupandisha faini ya waliochelewa kujisajili kwa asilimia 1000%, mwanzoni ilikuwa 10000 kwasasa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
cha kwanza nimeandikiwa selected katika profile yangu katika chuo cha ualimu green bird ODP arts''3rd-' ila kwenye orodha sipo apo inakuaje? Pili lini tarehe ya kuripoti kwa wale wa 3rd...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wenye supp/special exams ratiba imexhatoka itaanza tr 20/10, angalia kwenye website ya chuo ujue course yako ipo lini.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
ADMISSION LETTERS FOR DEGREE PROGRAMMES & SPECIAL PROGRAMMES DIPLOMA IN SCIENCE, MATHEMATICS AND ICT EDUCATION WILL BE AVAILABLE FOR DOWNLOAD FROM WEDNESDAY 01/10/2014 FROM 17:00 SOURCE...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari wakuu. Nimechaguliwa kupiga kitabu COICT pale. Napata wakati mgumu kuelewa mahali gani patanifaa kati ya university hostels na kupanga geto. Hii inakuja kutokana na kwamba bado sijajua...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi! Nimemaliza form six 2009 Milambo Sec school, mwaka huo nilipata nafasi kwenda kusoma Agricultural Engineering SUA. Lakini kutokana na kipato kidogo na kukosa mkopo sikuweza...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
habar wakuu, mm n miongon mwa vjana walopata nafasi ya kusoma architecture mwaka wa kwanza. nataka kuuliza n vifaa vipi nahitajika kuwa navyo ktk mwaka wa kwanza wa masomo? msaada wenu ni mkubwa kwang
0 Reactions
2 Replies
809 Views
Kwanza POLENI SANA NDUGUZANGU AMBAO MAMBO YA CHUO HAYAJAELEWEKA HUSUSANI KATIKA KUWEZO KULIONA JINALAKO KATIKA CHUO FULANI. kiukweli tunakutana na ugumu wa hali ya juu hasa kwa maswali...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa nacte wenyewe form zitakua hewani katika website yao kuanzia kesho. Malipo ya elfu 30 yanahusika. Deadine yao sijui itakua lini zaidi ya yote juzi ijumaa walisema selections bado...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Mimi ni kijana niliyehitimu miaka saba iliyopita.lakini kwa kuwa wadogo zangu wananitegemea nilianza shughuli mbalimbali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wanajopo mliochaguliwa kujiunga na chuo cha mkwawa.... taadhari ninayowapa ni kua usisahau kuja na boooonge la blanketi coz huku ni full baridi..... tena ndani ya chuo kuna baridi sana...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana Jf Nimechaguliwa kujiunga na shahada ya Elimu chuo cha SUA sasa natafuta mtu wa kunidhamini kulipa Ada pee kwa Mwaka wa kwanza ambayo ni Milion moja na laki mbili na elfu sitini na...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
  • Closed
wasichana wa ifm,udsm,cbe,ustawi ndo kundi kubwa linaloongoza kujiuza club ambiance sinza wakitafuta ada za chuo na wengine waliookosa.....mikopo hivi viongozi wa vyuo vyenu wanafahamu hili
0 Reactions
67 Replies
33K Views
Book Description This worldwide best-selling book highlights the most recent trends and developments in global marketing-with an emphasis on the importance of teamwork between marketing and all...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
habari ndugu zangu wapenzi...mimi mpaka sasa nikijaribu ku download admission later nashindwa..sasa ninachokitaka ni msaada kwa anaefahamu hata gharama za mwanzo ili nijipange mapema zaidi me ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wakuu. Nina mdogo wangu aliomba chuo kupitia NACTE asa kwenye hizi second selection walimweka SAUTI MWANZA ambapo selection status alikua SELECTED but confirmation status hadi sasa hivi ni...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tumeshuhudia vijana wengi wanavyo vaa humu vyuoni yaani wanawake na wanume mf milegezo(suruali chini ya makalio) kwa wanaume na kwa wanzetu wadada ni sketi za juu ya magoti na brauzi za maziwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu hii course Bachelor of science in municipal management and industrial engineering inayotolewa Ardhi University
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom