naomba kuuliza ili nisajiriwe hapo chuon ni lazima niwe na chet original cha form six au hata nikiwa na result slip yatosha.
Nilimaliza mwaka jana six.
Salamu wakuu,
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2013 na nilituma maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada (hisabati/sayansi) na nilibahatika kuchaguliwa katika chuo...
ifahamike kwamba kila kigogo alie ofisini amefika hapo alipo pamoja na mambo mengine ni kufundishwa na walimu kuanzia chekechea hadi elimu aliyo ishia kigogo huyo. cha kushangaza mwalimu bado...
Kasim Majaliwa Amenukuliwa Akisema Kuwa Waalimu Lazima Wakatwe Kila Mwezi Kwenye Mishahara Yao Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Maabara Za Shule, Najiuliza Yeye Anakatwa Ngapi Kuchangia Ujenzi Wa Maabara...
HUKU ikiwa bado Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini (HESLB) ikiwa inasuasua kutaja majina ya Wanafunzi wapya watakaopata Mikopo wa mwaka wa masomo 2014-2015,kutokana na bodi hiyo kusema...
Wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nakula Mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku Mtwara ndugu zangu wa huko Dar es salaam, pamoja na wanafunzi...
jamani..kama kuna vyuo vinavyoendeshwa kwa usumbufu basi..hiki chuo cha taifa Zanzibar kinaongoza..tangu watangaze majina waliochaguliwa kujiunga na chuo hiki..basi imekua tabu sana..kuipata hyo...
Waungwana kwa aliyekutana na tatizo ttz hili tafadhali aniambie alitatua vp ni mda mrefu ss kila nikisubmit code ya mpesa majibu yanakuwa ivyo na kila nikipiga namba yao ya help desk iko busy...
Sijafanya second round application, profile yangu iko processed successful
kati ya Arthi... Udsm.. Udom na Dit till now sijaona jina. Ndugu embu tusaidiane hapo...?
Habari,
Nenda katika link...
wakuu heshima mbele!
nimechaguliwa kuja kusoma UDSM, sikuwahi kufika dar hapo kabla,mi mwenyeji wa Monduli!wakati nafanya maandalizi mama yangu ameninunulia blanket pia je kuna umuhimu wa kuja...
Mwenye kujua tafadhali nijuze kama usajili huo wa watahiniwa wa form six kwa mwakani kama umeshaanza,na kama umeshaanza ni lini unafungwa? kama haujaanza basi ni lini utanza?
NAWASILISHA
Kwa heshima ya Mwl. Nyerere, Benki Kuu ya Tanzania(BOT) wametoa fursa kwa watanzania wanne (4) kwa ngazi ya undergraduate na watanzania wawili (2) kwa ngazi ya postgraduate/Masters kuwasomesha...
Naomba msaada ndugu zangu jinsi ya kupata UDOM Admission letter make kila ukiingia ALIS wanataka uweke f.IV exam namba na Surname ka password ila ukiweka vyote inakataa! Msaada jamani make muda...
Habari zenu wakuu, jamani kuuliza si ujinga naomba kuuliza hivi utakitambuaje kama chuo unachosoma au unachotaka kusoma kama kimesajiliwa na NACTE na certificate yake utayopata toka hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.