vp hali wana jf
mwenzenu nategemea kwenda kusoma course hii Bachelor of Arts in Geography and Environmental Studies katika chuo cha mwenge university collage of education ​kipo moshi... vp...
Mwenye kujua juu ya suala la certificate ya ualimu,maana hadi mwaka jana waliopata division 4 ya point 27 alikuwa na sifa ya kusomea ualimu wa shule ya msingi,mwaka huu hadi sasa sijaona tangazo...
Nina certificate ya wildlife management pia advance nilisoma CBG nikapata div 3 ya point 17 kutokana na uchumi mbovu nilishindwa kupata cheti cha form six vipi naweza kuingia degree direct au...
ninarafiki yangu ameishia form four na alipata division two ya point 18 lakin kutokana na matatzo ya kifamilia alishindwa kuendelea na advance,mwaka huu alichaguliwa kujiunga na chuo cha utabibu...
Jamani naomba kuuliza Kuwa ni ipi hatma yeti sisi ambao hatuja chaguliwa hata institution hata moja ila profile zina sema "PROCESSED SUCCESSFULLY.YOU HAVE BEEN
SELECTED"
Wapendwa wadau kwa mwenyeji yeyote ktk college ya Humanity and social science pale UDOM naomba anifahamishe machache juu ya taratibu za chuo kuhusu;
1.malazi kwa wanachuo
2.mavazi kwa...
Tokea nimezaliwa miaka 29 iliyopita nimekuwa nikiusikia huu wimbo kuwa graduate wengi wa Tanzania hawana soko kimataifa kwa ufupi hawaajiriki. lkn pia kuna msemo maarufu unaosema graduate...
Habari wakuu
Moja kwa moja kutoka site ya TUMAIN UNIVERSITY MAKUMIRA. MAJINA HAYA HAPA YA WALIOCHAGULIWA BACHELORS YAPO CHINI.
MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO CHA TUMAINI MAKUMIRA
Applicants should note that the institution where they are allocated are the once they are supposed to report. For those who have applied for student loan if they are granted
then their loan will...
Nacte sasa imeanza kuonesha uhai kwa wanafunzi wa diploma baada ya sintofahamu kwa muda mrefu... Unaweza kuingia kwenye profile yako ukaona mabadiliko waliyoyafanya..
Nina rafiki yangu alimaliza form four mwka 2010 na alipata division two ya point18, lakin hakuendelea na masoma kutokana na matatizo yakifamilia yaliyotokea na mwaka huu alichaguliwa kujiunga na...
Msaada tafadhali, nimechaguliwa St. Joseph University College of Information Technology-kipo songea ila cjui nitafikaje hapo chuoni, mwenye information za hiki chuo tafadhali.
Kweli mambo ya nacte yanatutesa nafsi sana. Wameanza kuweka mabadiliko kwenye profile zetu lakini mabadiliko hayo nimaajabu matupu mf. Mimi wameniandikia eligible kwa facult mbili nilizoomba...
Wizara ya mambo ya nje, habari na mawasiliano (DARUSO) inapenda kuwataarifu wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es salaam 2014/2015 (Mlimani Campus) kuwa admission letter...
Tukiangalia taratibu katika elimu yetu zinazidi kubadilika. tumeshuhudia mwaka huu waliochaguliwa cirtificate (diploma ya kawaida, kwa upande wa education) walikua ni wale wenye ufaulu wa daraja...
Wakuu mi nikiri ni moja ya waTz niliyesoma shule za jamii kabla ya shule za kata,lakini nilibahatika mpaka nilifika elimu ya juu na kuhitimu shahada ya kwanza pale SUA.
Kwa sasa niko kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.