Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

anayejua st Joseph university dar first year wanafungua lini anisaidie jamani!!!!,
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Nahis sitapata..huko kwenye central admtion..je kwa mda huu uliobaki naweza omba chuo gani kupitia direct chuoni.?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wapendwa, Vipi kuhusu Mechanical engineering ya hapo NIT inahusiana na magar tuu au widely?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tofauti kati ya Odinary Diploma na Full Technician Certificate (FTC). Ahsanteni sana
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Wakuu salam zenu ningependa kujua chuo cha sua kipo katika geographia gani nikiwa na maana umbali kutoka mjini,mazingira ya chuo kwa ujumla..nk....karibuni mnisaidie kwa mnaokifaaham iki chuo...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
jaman bachelor of science in applied zoology ajira zake niwapi hasa? je, mtu anaweza kuajiliwa serikalin au lah?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Below is the list of students selected to join KIU Dar es Salaam College for those applicants who applied to KIU through central Admission System (Click the item to view the list) Business and...
0 Reactions
1 Replies
16K Views
Wanajamvi naombeni msaada. Naona majina mengi yaliotolewa na hivi Vyuo ambavyo tayar vimeshatangaza majina ya waliochaguliwa, wengi ni Form Six freshers au mie nimeona vibaya?? Sasa swali...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Selected Candidates to join into Diploma in Pharmacy, Medical Laboratory Technology & Nursing-3rd Batch Third batch CHS.pdf Second batch CHS.pdf Selected CHS.pdf
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Serakali imefuta rasmi kidato cha nne wenye ufaulu wa divisheni four ya point 26,27,33 na 34 kusomea ualimu katika vyuo vyake. Hii ni kutokana na vigezo walivyovitumia katika kuchagua wanafunzi...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
kwa anayefahamu jamani naombeni mnisaidie juu ya hili, kwa waliomaliza form six mwaka huu 2014, principle inaanzia ngapi D au C? na je kama mtu katika matokeo yake amepata grades CDE kwa matokeo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Standby wakuu website ya tcu inafunguka saivi
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari wakuu, Mimi ni mmoja wapo niliyechaguliwa chuo cha diplomasia Kurasini, kama yupo mwengine tutaftane mana niko mkoani admission inaanza sept 29
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mzumbe wameachia mzigo jamani source, NACTE page on facebook
2 Reactions
29 Replies
6K Views
habari zenu wapendwa,wale tuliofanya mtihani mwezi wa tano grade one changombe tumefaulu wote
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hv hili shirika la platinum mikopo yao kwa walimu n bora kuliko mikopo bank? tunaomba ushaur kwa waliowah kukopa platnum
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The following applicants have been selected to join various bachelor degree programmes for the academic year 2014/2015. IFM BACHELOR DEGREE 2014
0 Reactions
8 Replies
5K Views
The management of SUA is pleased to inform the following candidates that they have been selected to join various Certificate and Diploma programmes for the academic year 2014/2015 which starts on...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau nina mdogo wangu anataka kusoma kozi hiyo Chuo Kikuu Huria Tanzania, tafadhali mwenye kujua gharama zake hadi kozi kukamilika anijulishe. Ahsanteni!
0 Reactions
8 Replies
13K Views
Habari zenu all jf members! Wakuu najua humu jamvini wako watu ambao wame apply Kam college na vyuo vingine vya private kutokana na hofu iliyotanda juu ya compition...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…