Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

The University is located to the north of the magnificent Uluguru Mountains, some 4 km from the centre of Morogoro Municipality, about 100m off the Morogoro-Dodoma highway and just about...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Taarifa iliyotolewa na NACTE katika ukurasa wao wa facebook mda huu, inasema kuwa kikao cha joint admision kimekaa na kukamilika leo hii. Katika taarifa hiyo wamesema kuwa kazi ya kutoa majina...
1 Reactions
61 Replies
11K Views
Jamani anayejua link sahihi ya kuangalia majina ya waliochaguliwa kwenda vyuo vikuu anisaidie.maana link nilizopewa zinagoma kufunguka.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kiukweli chuo chetu hakina majengo makubwa ya kutisha, lakini mziki wa kozi tunaoupata kiukweli lazima ujipange kwani wa kufa mtu,kwani hatuendi pale kuchukua degree bali tunaenda pale kuitafuta...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ni vigezo gani wamevitumia kuchagua wanafunz while baadhi ya wanafunz wenye ufaulu mzuri kwa michepuo ya hge wamenyimwa nafasi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa hili jukwaa, Mchango wenu wa mawazo unahitajika. Mtoto wangu wa kike amemaliza STD 7 last 2 weeks hivyo namtafutia Boarding, girls, private na iwe mkoani ili kupunguza unnecessary...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Salam wakuu, Naomba kujuzwa vitabu vizuri vya somo hilo kwa wanafunzi wa o-level. Natanguliza shukran..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa anae fahamu hii course naomba mnifahamishe no nzuri
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari wakuu, Chuo kikuu cha jordan kimetoa selection kwa mlio kichagua, Bofya link chini kuona majina. Jordan University College Selected Students for Bachelor Programmes by the Central...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
niliomba vyuo vinne kozi nizipendazo na cha tano nikawe koz ambayo siitak kwa sababu sikupenda kuomba chuo cha binafsi je, naweza kukuta nachaguliwa koz ya tano na kuachwa hizo za mwanzo?
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Hasa wakati wa orientation week(s) waambiwe mambo ya msingi kama vipi unapata course works,kusap kunatokeaje na hata kudisco. sio mambo ya kuoneshwa cafeteria na vyoo....watazijua tu wakisikia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii nimemaaliza chuo cha IFM degree ya banking and finance naombeni msaada nisomee masters gan chuo cha mzumbe? itakayokuwa msaada kwamgu kwenye mambo ya biashara?
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hili swali kwa kweli huwa najiuliza sana kwa nini vyuo kama vitano hivi,yaani MOROGORO Muslim University,Akhakan,Zanzibar University na vyuo viwili vingine nimevisahau, huwa wanachagua majina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za asubuhi kwa wanajukwaa Ninae mdogo wangu alirudia kufanya maombi ya chuo kwa huu mwaka ikiwa pamoja na bodi ya mkopo... lakini kadri muda unavoenda kile chuo chake kimemuita kuendelea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau. naomba kujua kama inawezekana kuomba chuo unachokipenda directly kama tcu hawakukuchagua katika kozi/chuo unachokipenda ie vyuo vinaruhusiwa kuchagua wanafunzi bila kupitia TCU
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ingia kwenye hii link utafahamu ulikopangiwa (http://cas.tcu.go.tz/2/admitted_applicants.php )
4 Reactions
37 Replies
47K Views
Wadau kaka yangu alimaliza diploma of electronics and telecommunication engineering ana g.p.a ya 4.7 mwaka wa jana, je anaweza kuchaguliwa petroleum engineering apo UDSM akifanya application apo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau mko poa Nahitaji msaada wa mawazo juu ya hili swali linalonisumbua kichwani.. Nimemaliza diploma mwaka huu na kuna sehemu najishikiza kidogo ss nataka niendeleee na masomo yangu ya degree...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza iv kama nina degree ya pharmacy alaf nataka nisome masters ya medicine,kama nitapiga kwanza postgraduate ya medicine then ndo nkapga masters ya medicne, je anawezekana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF,naomba kujuzwa tarehe ya kufungua chuo kwa wanafunzi wa diploma...................(busara itumike)
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…