Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau wa Elimu mi nataka kujiendeleza japo umri umekwenda. enzizetu kwenda shule ya upili ilikuwa shughuri. ukizingatia shule ilikuwa moja MWANZA na baadae ikaja PAMBA. nifuate nini ili niweze...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vitabu vya kuzingatia,topics za kukusaidia kupass kwenye masomo ya CHEMISTRY&PHYSICS na pia PRACTICALs zake
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Kuna rafiki yangu kapata division two pt 9 mwaka huu combination ya PCM, mimi nilimshauri katika selection zake aanze na UDSM kwani matokeo yake siyo mabaya. Yeye amepata B plain kwa masomo yake...
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Niliaply ualimu diploma, jina ABEL G KIKIMBA, nimesoma madibira 2013 na nilipata two, nilituma maombi wizara ya elimu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu JF inaweza ikafufua matumaini yangu, baada yakukosa kuchaguliwa ualimu. Hivyo basi naomba mwongozo wenu. (1)vyuo vyamifugo wameshaanza masomo? kwa vya selikali ada ni sh ngap? (2)vyuo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kna alyechagliwa Udom kwa COURSE tajwa hapo juu tutaftane tuwasliane kwa 0786520885 nawasilisha wana jf
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi wadau Diploma ya Medicine chuo cha serikali malipo yake yakoje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wandugu. Mdogo wangu kachaguliwa kujiunga shule hii ya Missungwi kwa CBG namimi ndio naisikia hii shule. Natafuta contacts zao ili nifuatilie joining instruction na ikiwezekana nijue kabisa kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kutokana na Vyuo vya GOVERMENT Kuto chukua walio pata div4 kwa ngazi ya cheti ualimu, ndivyo hivyo hivyo Vyou vya private kufuata program kama ya goverment itakayo anza mwakani. kama bado unataka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tangu niache kupost jf nilikua msomaji tu wa post za watu le na mimi nimerudi kwa ajili ya msaada wa mawazo kidogo. Ninapoishi nimezungukwa na walimu wa chuo nimekuja kutafiti nikaona hii kazi...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Ndugu wadau. Nauliza mwenye degree ya BAED (Linguistics and Kiswahili) anaweza kusoma masters zipi mbali na ualimu? Naomba kuelimishwa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba Shahada Ya Ualimu Iwe Na Thamani Sawa Na Ya Sheria Au Udaktari,
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja wa wanafunzi waliotuma maombi ya mkopo ya elimu ya juu. Katika fomu Yangu ya mkopo nilisahau kuambatanisha kitambulisho cha Mdhamini. Sasa jina langu halipo kati ya wale waliokosea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani habari zenu,mimi nimechaguliwa chuo tajwa hapo juu,hivyo naomba kukutana na wenzangu waliochaguliwa hapo au wanaosoma hapo ili tujuzane mambo muhimu kuhusu chuo. Kama jinsi ya kufika...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ipi ni kozi nzuri katika maisha ya sasa kwa level ya Diploma kati ya courses hizi, Computer Science, Business Adminstration na Community Development. Nashukuru sana kwa hilo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi supose ukienda masomon mf. Kwa miaka 3,bahati mbaya ukakumbwa na CARY AU RETAKE yaani unatakiwa kuongeza mwaka 1 zaidi ili uhitimu. Utaombaje ruhusa tena kwa mwajiri wako? Ili uweze kumalizia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
VYETI VYA ELIMU YA JUU VITUMIKE KAMA DHAMANA YA WASOMI KUPEWA MIKOPO YA KUJIKWAMUA. Habari jumapili Wana JF wote kwa ujumla.Jamani nimekuwa nikifikiria muda mrefu sana ni kwanini vyeti vya elimu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wale Wa Kusubir Ndo Hayo Yameshatoka.
0 Reactions
36 Replies
29K Views
Wanajamii kutokana na ufaulu wa kutisha kwa form six mwaka huu. Mnaonaje vyuo vyote kutengeneza inteview exam kwa masomo yote. Kwa wanafunzi wote waliochaguliwa na tcu. Atakaye fail. Anarudia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani nina mdogo wangu anasubiria selection za vyuo but nimejarb several times kulogin kwenye account yake ya TCU but inaniandikia login failed. Kuna mtu yeyote aliyewah jaribu kulogin ikakubali ?
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…